Hapana maneno yanasema ,Kunguni na viroboto ni marafiki zaaaaanguuuuu, Chawa na panya tuliishi nyumba moja, ila kwanini usiku mnanisumbuuua... Naaaasikitikaaaaaaaa.....halafu ndio anasema samahani saaana saaamaani saaaaana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanyimbo hako marehemu bibi mzaa baba alikuwa anakapenda balaa.
Tunamuwekea katika redio yake ya tape , anakaa kibarazani huku anagida mbege au Ihombwa kama alivyokuwa anaiita.
Dah we jamaaaa umenikumbusha mbali sana na haka kanyimbo. Ngoja nitafute jina la msanii.
Sent using
Jamii Forums mobile app