kitambaa Cha sofa
Member
- May 23, 2023
- 65
- 136
Super mazembeKuna mwengine huu wanaimba hv
" Baba nipe pesa watoto Wana njaaa wakienda kwa majiraaani...
Nao wanasema fungeni milango wanakujaaa"
Kuna mwengine huu wanaimba hv
" Baba nipe pesa watoto Wana njaaa wakienda kwa majiraaani...
Nao wanasema fungeni milango wanakujaaa"
"I lavyuu Maria debodeboooraa ailavyuu Maria debodeboooraa...Maria debodeboooraa Maria debodeboooraa....
Kuna wimbo nautafuta, sijui unaitwaje ila ni wakitambo kidogo, na waimbaji ni mdada mmoja mwenye asili ya Asia, (china/Korea au Japan) akishirikiana na jamaa mmoja mwenye asili ya Africa ,naomba mwenye kujua jina la wimbo huo na waimbaji anisaidie
Nenda google help, uliza 'what is this song' itaanza kukusikiliza. Uanze kuiimbia sasa. Kama lyrics huzijui, unaweza hata kupiga mluzi tu. Mhimu ile melody.Kuna wimbo nautafuta, sijui unaitwaje ila ni wakitambo kidogo, na waimbaji ni mdada mmoja mwenye asili ya Asia, (china/Korea au Japan) akishirikiana na jamaa mmoja mwenye asili ya Africa ,naomba mwenye kujua jina la wimbo huo na waimbaji anisaidie
Sophia George hajawahi kuimba wimbo huo,ni Wahindi wa Bongo ndio walifanya kitu kibaya sana kwa tamaa zao za utajiri walichukua albamu ya msanii mwingine na kuweka picha ya Sophia George kwenye hio albamu wakawa wanauza kama albamu ya Sophia George.ukweli ni kwamba albamu yote ile haikuwa ya Sophia George,ilikuwa ya msanii mmoja anaitwa EVI EDNA OGHOLI,kutoka Nigeria ameibiwa sana huyu dada na watu wenye tamaa. Msachi YouTube utaziona nyimbo zake zote ulizo zisikia kwenye ile albamu.Uuuyeh, i wish Jappy Birthday... mimi hiyo.. ila kama alivyotangulia mdau kama alb inapayikana ipatikane tuu
Huu wimbo unaitwa "Mtegemea cha Ndugu" mimi mwenyewe nautafuta mnooo.Nnashida na wimbo mmoja uliimbwa na Band ya Tam Tam unaitwa chande..Mwinjuma Muumini akiwa ndani mwenye nao naomba anisaidie
Hata Mwenyewe Najuaaanautafuta sana huu wimbo una maneno haya'' swing swing mziki ni bomba,,,,,ww rafiki acha kuzubaaa dada amshaaaaa hizo ni kachaaaaaa''
nautafuta sana huu wimbo una maneno haya'' swing swing mziki ni bomba,,,,,ww rafiki acha kuzubaaa dada amshaaaaa hizo ni kachaaaaaa''
Ngoni ft Ay _Mimi na weweNataka kujua jina la huyu msanii aliyeimba.
Mimi na wewe.... tuache makelele
Mimi nawewe... milele na milele