Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Habari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema
" Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Hii
Habari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema
" Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Ndio hii
Habari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema
" Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Ni hii
 

Attachments

Naombeni nyimbo hizo
1-Nakuja home
2-Unayempenda anapendwa na wengi
Zote za Yakuza Mob
 
Haya Link ya Group la Nyimbo za Zamani za Bongofleva.. TELEGRAM!!

 
nautafuta sana huu wimbo una maneno haya'' swing swing mziki ni bomba,,,,,ww rafiki acha kuzubaaa dada amshaaaaa hizo ni kachaaaaaa''
 
Habari wakuuu kwanza nawapenda Sana
Samahani kuna wimbo nautafuta Sana halafu Sasa nimesahau aliuimba Nani
Ila kuna sehemu wanaimba hv
"I lavyuu Maria debodeboooraa ailavyuu Maria debodeboooraa...Maria debodeboooraa Maria debodeboooraa....
.....
Mwenye anaeufahamu aniambie jamani plz
 
Kuna wimbo nautafuta, sijui unaitwaje ila ni wakitambo kidogo, na waimbaji ni mdada mmoja mwenye asili ya Asia, (china/Korea au Japan) akishirikiana na jamaa mmoja mwenye asili ya Africa ,naomba mwenye kujua jina la wimbo huo na waimbaji anisaidie
 
Back
Top Bottom