Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Huu hapa, twende kaziTaifa la bongo Born town clan feat Noorah& Sumalee nautafuta sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu hapa, twende kaziTaifa la bongo Born town clan feat Noorah& Sumalee nautafuta sana
Huu hapa, twende kazi. Gonga like nyingi sanaNautafuta wimbo mmoja wa mangwea, bamboo na jay moe, unaitwa mola nisamehe, nimeutafuta sana bila mafanikio
Nimeuweka kaka. Chomoka kivyovyote tu, endelea ku enjoySASA JOMBAA TUNACHOMOKAJE HAPA, MWENYE THREAD SIJUI YUKO WAPI AULETE
Huu hapa, gonga like nyingi sanaFamily conflict wa Twanga Pepeta
Huu hapa, gonga liie nyingi sana manMsamaha , Saigon wa Diplomat...
Dah. Sijui unasaidikaje hapaKuna wimbo nautafuta umeimbwa na msanii anaitwa NTOMBE ulipigwa sana enzi niko mdogo jina la wimbo siujui lakin moja ya mashairi yake unaimbwa hivi [emoji444]mwanangooo mwanangooo lekatula kilindiiii asyere mwanangooo[emoji445][emoji444]
Huo wimbo wa pili sijaupata, ila nimekuwekea mbili ambazo ndio nyimbo kali za wakati huo za Dolphin Pose. Usisahau kugonga like mzeeMwenye nnyimbo za Dolphin posse
1.Huyu manzii
2.Sivyo alivyo
Naziomba wakuu nimezitafuta sana
Binafsi sina, ila nakuwekea nyimbo nyingine za Soul N Faithhakuna mwenye huu wimbo kweli
Ok, nimekupata. Wimbo umeimbwa na Venga Boys unaitwa Uncle John from Jamaica. Huu hapa. Kama sio useme.Wapendwa na mimi kuna nyimbo naitafuta ya wazungu ya zamani inahusu holiday. Watu wanatupiana makeki, mayai ila nakumbuka tu sehemu wanaimba "laa lalalalalala hey hey hey" X 2 then "I need some holi holi day, you need some holi holi holi day, she needs some holi holi day everybody needs some holi holi day"
Twende kaziSalamu nishamuachiaga GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama akiwemo Cognizant
Ndugu zangu wapenda Burudani ya muziki hasa muziki wa Bongofleva wa miaka ya nyuma (Old skool).
Kuna wimbo unaitwa "NIPE NAFASI" umeimbwa na msanii TID akiwa amemshirikisha Fid Q,huu wimbo nimejaribu kuutafuta kwenye kila Platform ya kuuzia miziki lakini sijafanikiwa kuupata,sijaelewa shida ni nini kiukweli hadi huo wimbo kukosekana kwenye Platform hizo!.
Naomba kama kuna member yeyote ambaye anao huo wimbo au anaweza kuupata popote anisaidie kunitumia hapa maana ninaupenda sana na unanikumbusha mambo mengi sana!.
Nawasilisha!
Huu hapa. Gonga like nyingi sanaPenzi kikohozi by fresh jumbe ..mwenye audio
Huu hapa man. Gonga like nyingi sanaHabari wakuuu kwanza nawapenda Sana
Samahani kuna wimbo nautafuta Sana halafu Sasa nimesahau aliuimba Nani
Ila kuna sehemu wanaimba hv
"I lavyuu Maria debodeboooraa ailavyuu Maria debodeboooraa...Maria debodeboooraa Maria debodeboooraa....
.....
Mwenye anaeufahamu aniambie jamani plz
Yeeeey......ni huu jamani thank youOk, nimekupata. Wimbo umeimbwa na Venga Boys unaitwa Uncle John from Jamaica. Huu hapa. Kama sio useme.
Huu hapa wimbo husika. Gonga likeWadau mwenye nyimbo ya juma nature ft manzese crew OFISIN NI MIGUU naomba
Nimeupata mmoja. Huu hapaNaombeni nyimbo hizo
1-Nakuja home
2-Unayempenda anapendwa na wengi
Zote za Yakuza Mob
Huu hapa. Gonga like
Huu hapa. Gonga likeVumilia Mpenzi wa UVC.university corner