Mwafrikamtanzania
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 387
- 421
Mwenye wimbo wa Nay wa Mitego ft. Nyasi. Sehemu ya mistari "napiga simu unakata unakata oiiiehh ... Sijui nn unataka ... Oiieeh! Nimechoka kuteswaaaa!!. Nimetafuta sana na bado sijaupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you so much 🤝Picco ft shoz Dear - swagga
Huu wimbo wenye baadhi verses zinasomeka "...i have one more questiooon..." ni wa kinaijeria,msanii gani kaimba?Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Tafuta "Died in your arms tonight" wa Jayzehabari ndugu na jamaa kuna wimbo nautafuta wa kingereza nadhani unaitwa Rebirth sauti ya muimbaji ni kama jay z" baada ya kugoogle nimepata wimbo una same beat muimbaji tofauti anaitwa lydell ni huu naatach" shida yangu muimbaji si huyu beat ni yenyew
Hapo mzinga Bend ndo sina. Na zikizobaki zote zinapatikana mtandaoni, jaribu kutafuta kwanza ukikosa mimi nitakutumiaWakuu mwenye hizi nyimbo
1.JUMA NATURE - HUWEZIJUA
2.TOP T - NIMEKUFANANISHA
3.MZINGA BAND - MAZOEA YANANIKONDESHA
4.K BASIL - CHOZI
5.ENIKA - CHANGANYA
6.NYIMBO ZOTE ZA MWANA FA
Natanguliza shukrani
Wakati Ule Wa Nuhu.. hao ni Ulyankulu Kwaya kama skoseiNaomba mwenye wimbo wa dini wa zamani sanaa unaimbwa hivii..
Mvua ilianza kunyesha bila kukatikaa.. ina husu safina ya Musa..
hhh unaitwa see you again by wiz khalifaWalioaga dunia
Nimekosa kaka wew nitumie tu mpaka makuja humu nimezitafuta sana nimekosaHapo mzinga Bend ndo sina. Na zikizobaki zote zinapatikana mtandaoni, jaribu kutafuta kwanza ukikosa mimi nitakutumia
👇 👇Wakuu kwenye ombi langu la awali mwenye wimbo wa k- basil aliomshirikisha Solo thang...wimbo unaitwa wanipa raha
Sikiliza huu kama ni wenyeweHello guys,Ninatafuta wimbo wa POPO BAWA wa mwaka 2009-2010👽👽👽👽
Sikiliza huu kama ni wenyeweMwenye wimbo wa Nay wa Mitego ft. Nyasi. Sehemu ya mistari "napiga simu unakata unakata oiiiehh ... Sijui nn unataka ... Oiieeh! Nimechoka kuteswaaaa!!. Nimetafuta sana na bado sijaupata