Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Naomba mwenye wimbo wa dini wa zamani sanaa unaimbwa hivii..
Mvua ilianza kunyesha bila kukatikaa.. ina husu safina ya Musa..
Kuzipata hizi ni ishu maana zilitoka enzi tunatumia tape 1990s huko.
 
Wakuu,huu wimbo mpya mpya wa msanii wa Nigeria wenye mistari '...just one more question...', anisaidie anayeufahamu please ndugu zangu
 
Wakati Ule Wa Nuhu.. hao ni Ulyankulu Kwaya kama skosei
Asante sanaa mkuu, Nimeipata imenikumbusha mbali sanaa😢
Screenshot_20241103-083616_YouTube.jpg
 
Mimi Kuna wimbo nautafuta , ni kama ameimba mdada hivi na ni wimbo wa zamani sanaaaa.

Wimbo huo ni wa kumsifia mwalimu nyerere , Na maneno yake yanasema "Ni Wajibu Kumshukuru Mwalimu nyerereee, Aliyekianzisha Chama Chetu tanu ee""

Kama kuna mtu anaujua na akanitumia nitampatia zawadi japo pesa ya bando wakuu
 
Tafadhalini naomba mwenye wimbo wa Ray C-Vyovyote Vile
Pauline Zongo; jina la wimbo silikumbuki ila video inamwonyesha akiwa ufukweni amevalia mawazi meupe huku akipiga gitaa, wimbo aliuachia mwaka 2004
 
Naomba wimbo wa Hard blasters "mwokozi nitoe roho niepuke hili balaa maisha niliyachezea Leo hii nalala njaa"
 
Naomba mwenye wimbo wa dini ambao hutumika kama kibwagizo TBC taifa siku ya Jpili saa nne usiku. Una maneno ya "Tumshukuru Mungu wetu aliye tujalia nchi"
 
Naomba mwenye wimbo wa dini ambao hutumika kama kibwagizo TBC taifa siku ya Jpili saa nne usiku. Una maneno ya "Tumshukuru Mungu wetu aliye tujalia nchi"
Huo wimbo nimeutafuta sana. Ila sijawahi pata kama ule wa TBC. Sijui uliimbwa na nani ule. Ila huko YouTube Kuna jamaa anaitwa M.B Syote ndiye inaonekana ndiye aliyeutunga. Ila nimeukuta huu na mingine inayofanana na huu


View: https://m.youtube.com/watch?v=aBUnMN4r6E4&pp=ygUjdHVtc2h1a3VydSBtdW5ndSB3ZXR1IGFsaXllIHR1amFsaWE%3D
 
Kuna wimbo sjui kaimba nani ila content au wimbo umeimbwa kwa kupokezana...me na ke
Waliimba kuhusu manzi sjui jamaa wako kwenye mahusiano wameenda kupima mmoja kakutwa ana ngoma sasa mmojawapo anaomba warudie kupima pengine majibu walikosea madaktari...

Melody ni kama waloimba.." mbona wanitazama kishaa wanza kulia kama nimekukosea naomba unisamehe
Hapana sijakukosea ninalia kwa furaha..
Unaitwa nalia kwa furaha bushoke ft k lyn
 
Back
Top Bottom