Huu hapahabari ndugu na jamaa kuna wimbo nautafuta wa kingereza nadhani unaitwa Rebirth sauti ya muimbaji ni kama jay z" baada ya kugoogle nimepata wimbo una same beat muimbaji tofauti anaitwa lydell ni huu naatach" shida yangu muimbaji si huyu beat ni yenyew
Kuzipata hizi ni ishu maana zilitoka enzi tunatumia tape 1990s huko.Naomba mwenye wimbo wa dini wa zamani sanaa unaimbwa hivii..
Mvua ilianza kunyesha bila kukatikaa.. ina husu safina ya Musa..
Noma sana!Darasa huru..by Jose mtambo nadhani kwenye chorus Dully Sykes kavunja mbaya..dah I miss all those old days.. When life was called life..
Asante sana mdau. Ndio wenyewe. Niliutafuta sana awali kiasi kwamba app nyingi zinashindwa kudownload. Asante sanaSikiliza huu kama ni wenyewe
Nikweli, kwani unahifahamu mkuu?Kuzipata hizi ni ishu maana zilitoka enzi tunatumia tape
Asante sanaa mkuu, Nimeipata imenikumbusha mbali sanaa😢Wakati Ule Wa Nuhu.. hao ni Ulyankulu Kwaya kama skosei
Muwe mnasoma post za mwanzo wakuu. Huu wimbo upo hapo juu. Ingia kwenye search bar utauonaWadau naomba mwenye nyimbo hizi
K basil ft solo thang..wanipa raha
Juma nature huwezi jua
Naufahamu sana bro. Tulikuwa na VHS yake home miaka ya 1990s, albamu husika ilipotoka.Nikweli, kwani unahifahamu mkuu?
Nadhani ni hao hao. Ilikuwa album yenye nyimbo nzuri sanaWakati Ule Wa Nuhu.. hao ni Ulyankulu Kwaya kama skosei
Huo wimbo nimeutafuta sana. Ila sijawahi pata kama ule wa TBC. Sijui uliimbwa na nani ule. Ila huko YouTube Kuna jamaa anaitwa M.B Syote ndiye inaonekana ndiye aliyeutunga. Ila nimeukuta huu na mingine inayofanana na huuNaomba mwenye wimbo wa dini ambao hutumika kama kibwagizo TBC taifa siku ya Jpili saa nne usiku. Una maneno ya "Tumshukuru Mungu wetu aliye tujalia nchi"
Huo wimbo nimeutafuta sana. Ila sijawahi pata kama ule wa TBC. Sijui uliimbwa na nani ule. Ila huko YouTube Kuna jamaa anaitwa M.B Syote ndiye inaonekana ndiye aliyeutunga. Ila nimeukuta huu na mingine inayofanana na huu
View: https://m.youtube.com/watch?v=aBUnMN4r6E4&pp=ygUjdHVtc2h1a3VydSBtdW5ndSB3ZXR1IGFsaXllIHR1amFsaWE%3D
Unaitwa nalia kwa furaha bushoke ft k lynKuna wimbo sjui kaimba nani ila content au wimbo umeimbwa kwa kupokezana...me na ke
Waliimba kuhusu manzi sjui jamaa wako kwenye mahusiano wameenda kupima mmoja kakutwa ana ngoma sasa mmojawapo anaomba warudie kupima pengine majibu walikosea madaktari...
Melody ni kama waloimba.." mbona wanitazama kishaa wanza kulia kama nimekukosea naomba unisamehe
Hapana sijakukosea ninalia kwa furaha..