Ilikua dongo kwa ali choki, yeye kwenye uzinduzi was album ya twanga alikuja na kijiko ( greda)Kuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza
Mimi ninaoMariose by Richard mdogo wake captain tundaman..
Huu alienao hta vocha ntamtumia
Makassy Junior - Baba ParokoBaba paroko jaman nausaka
kwa udi na uvumba
Nautafuta "Nyeti" uliimbwa na Wagosi wa kaya
Chelea man'Naomba unipende kama nilivyo mi msela' sikumbuki umeimbwa na nani
Hu wimbo upo lakini ukiingia site utaishia kuuskiliza tuMpiga debe- Rap Nature & Q chief
Wimbo ni beatrice - Mass media band, duh ni mmoa mgumu sana kuupataBetty.......imeimbwa na Zahir Zorro na bendi yake baba yake Banana Zorro kwa anayefahamu jina kabisa la nyimbo anisaidie
Chelea man'Naomba unipende kama nilivyo mi msela' sikumbuki umeimbwa na nani
Sawa Asante, uweke hapa ndg yangu ili niusikilize maana nimeusikia siku nyingiChelea man
Na mm naitaftaa hii taarabuu jamanKuna taarabu moja beat yake ilikuwa inatumika ka kionjo tu kwenye Chereko ya TBC 1... Mama yangu anaipenda sana ila sijawahi kuijua
Nnazo zote nitafte PMNitafurahi nikipata nyimbo hizi zifuataz0
Rafiki - Mr Nice
Wachumba 30 - John Mjema
Nasonga Mbele - V2
Baby Gal - Mad Ice
Sintobadilika - Mike Tee
Maisha ya Boarding - Jay Moe
Jela - LWP
Nani kauona Mwaka - Sikinde
ssubalkheri mpenzi mp3 downloadSabarukheli mpenzi waonaje hali yako,hali yangu sijiwezi dawa yangu sura yako.
Taarabu ya zamani sana hii.tafadhali mnitumie