Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Dah ukiupata wa V2 nasonga mbele please nipatie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ukiupata wa V2 nasonga mbele please nipatie
Wagosi wa kaya-ndoto
Wagosi wa kaya-Trafiki,nimeutafuta ila naona chenga tu
NotedStyle gani wa moz B ft joseline.. ukiupata huu nakurushia bado la wiki. Yaan gb 1.25
Jina la wimbo muhenga mwenzanguWanaitwa Western Jazz ndo walioimba huu wimbo
Mimi nautafuta kwenye mtandao wimbo wa Lameck Dotto unaitwa NABEMBEA mwenye nao naomba auweke hapa
Kosa la marehemu by [HASHTAG]#uswahilini[/HASHTAG] matola.nauhitaji sana mkuu.Hakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.
Jina la wimbo muhenga mwenzangu
Thanks mkuu, at the end nimefanikiwa kizipata zoteHuo wa kingzilla upo Youtube nadhani niliuona last week
Nautafuta sana huumi natafuta ule wa ngoni tribe wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki manunganyembe
Suma Lee wimbo unaitwa RafikiMimi natafuta nyimbo mbili lakini sijui zinaitwaje na wala kaimba Nani.mmoja una kipengele kinaimbwa_ Mjini umekuja juzijuzi kwenu ulikuwa unafuga mbuzi.sikujua kuwa ni nuksi mpenzi umemkuwadia mdosi._mwingine kuna kipengele kiko hivi= Hoi hoi hoi mimi naliaa Hoi hoi hoi parapanda italia. Yaani nazitafuta sana
Unaitwa why me lord kama sikosei mkuuNyimbo flani ya Shaggy anaimba kama analia hivi,
Isack GirlfriendKuna track hii siijui jina lake lakini
Chorus anaimba hivii
Wacha waseme wee ndo wangu girlfriend ,wacha waseme wacha wanune
Anayeijua afunguke hapa wakuu