Nazitafuta.
Mahabuba ya Chege ...
"nakupenda beib nakupenda kweli...
"
Lady Luu....
"akija kwangu atapata mahanjam hanjama atadata" natamani kuisikia sauti yake inaniita..
Tangazo by Bantu Mcz wakina Stiv Kabuye
Kaa Tayari ya Jose Mtambo
Kifo cha Nyani ya Mack Dee
Eeh Mola by Gorilla Killers ft Solid Ground Family,
Hamisi by Gorilla Killers,
Nataka niseme Mi by Neckbrackerz
wape vidonge vyao... suma g ft ommy g
zote ulizonazo za Waswahili Halisi... wazo la leo... pengo na haiwezekani ya sadat.
jiko limenuna by zigzag crue ft solo
baba jeni by solid
wanyamwezi hasili.. "mpenzi umenikimbia wakati naumwa, usiku wa manane ulingoja mi nakufa ili milele tusionane, sasa yamekukuta unaomba turudiane, sina muda mchafi mo ni bora niwe mjane.
hivyo ndivyo ilivyo by bjb
na amwisho lwa leo no Ngpma ya
Dataz ft Soggy Doggy... Sikutaki Tena
Sent using
Jamii Forums mobile app