Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mkuu inaplay kidogo sanaa..

Unamaanisha nini unaposema ina-play kidogo sana aisee...?

Unamaanisha ina-play kwa muda kidogo au ina-play kwa sauti kidogo mkuu...?

Mbona mie naiskiliza mpaka inafika mwisho aisee.
Screenshot_20190627-213047.png
 
Mimi nakumbuka tu kipande flank kinachosema ........"Anavyotembea kama nguva ndani ya bahari msichana mrembo utadhani malaika..........anayeifahamu tafadhali
 
Kioo naomba kibao cha i will be there cha senzo na Ngoma zote za brenda fassie
 
Mkuu sijui nimekukosea nini ndughyangu yaani nyimbo zoote nilizo kuomba hujanitumia hata moja yaani,wenzangu wanakuja nyuma unawatumia kulikoni??niliomba nyimbo za sqeeza na langa naona kimya tu.
 
Mkuu sijui nimekukosea nini ndughyangu yaani nyimbo zoote nilizo kuomba hujanitumia hata moja yaani,wenzangu wanakuja nyuma unawatumia kulikoni??niliomba nyimbo za sqeeza na langa naona kimya tu.

Mkuu hujanitumia jina la wimbo husika inarahisisha zoezi bro. Sorry for that.
 
Natafuta nyimbo ya rap

Jina la wimbo ;kila mtu na starehe yake.
Jina la wasanii ; waswahili
Mtayarishaji ; Bonie luv

Nilikuwa na hii nyimbo,nikaipoteza.
 

Mkuu KIOO naomba ngoma kama 5 za Hip Hop za mbele zilizopo kwenye playlist yako japo nipate feelings zako mkuu.
 
Back
Top Bottom