Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah mama yangu mama..ujue nakupenda sana/Wadau natafuta ngoma kali ya bongo flavor inaitwa nadhan "MAMA" by Masterbros ya miaka 2002 au 2003 na 2004 msaada!
Wimbo unaitwa Betrice.... Mzee Zahiri Zorro na kundi lakeWimbo ulioimbwa na mass media, wenye maneno 'wale wanaogombana ndio wanaopatana'
Labda huu? Ila sio worship song.Kuna wimbo umeimbwa kwa mahadhi ya kisauzi ni kama worship song ila una kiswahili ndani yake anayeujua naomba msaada maana hata muimbaji simjui nliousikia mahali fulani jana
natanguliza shukrani
Jumapili njema muende kanisani
Ingia kwenye huu uzi naamini utasaidiwa.Kuna wimbo umeimbwa kwa mahadhi ya kisauzi ni kama worship song ila una kiswahili ndani yake anayeujua naomba msaada maana hata muimbaji simjui nliousikia mahali fulani jana
natanguliza shukrani
Jumapili njema muende kanisani
Labda huu? Ila sio worship song.
Nahisi ni mtanzaniaUngesema ni wanchi gani kati ya hizo mbili iwe rahisi mfano Teamo wa rayvany una mahadhi ya kimeXicana ila una lugha ya kishwahili ni wa Tanzania ila kuna Teamo mingi Duniani.
codes ndio jina la muimbaji au mm ndio sijakuelewa?Nenda u tube. Kasearch codes.
sa hapa si mpaka iwe najua jina la wimbo?
Nahisi ni mtanzania
Kiongozi usisahau karata dume ya Afande sele...Ule wimbo wameimba na FANANI. Umetisha sana
Nakuongezea na mwingine alioimba na marehemu D Rob. Huu hapa man. Enjoy.