Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
JAMAN,HV MEMBER WOTE HUMU KWELI HAMUUFAHAM WIMBO WA AFANDE SELE UNAOITWA UMEONDOKA AMBAO ALIIMBA DITO NA NASH G!!!!!
 
Kuna wimbo mpya huwa jamaa anaimba vizuri sana ni mpya lakini ni kama wa kifaransa hivyo hata kujua jina imekuwa ngumu...ni kama kwenye chorus wanamalizia na ...bon a saan...bon a saaan...tutaata tutataaa...bon a saan...boon a saan[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna video clip ya Mtoto mmoja msichana wa DRC(congo) Akisoma mashairi yenye ujumbe mkubwa kuhusu hali iliyo congo . Ni clip ambayo huyo mtoto anayasema(soma) hayo mashairi kwa kichwa na niya lugha ya kiswahili .. Mazingira aliyoko mtoto huyo niya kijijini ambacho kuna ukijani sana na kavaa kigauni kichafu,amekaa kihuruma . na kuna vitoto vya mbuzi vikipita pita.
Hi clip naitafuta sana nimehangaika huko youtube kutafuta kwa kila njia sijabahatika ipata.. Mwenye kuwa nayo naomba nisaidie hapa au ni search kwa njia ipi.
 
Wimbo unaimba!
'heri yao walizaliwa kwao wakakuta maliiii, sisi wazazi wametuacha mikono mitupu! Ona leoooo napata tabu yoooooh! Ona leooo ninavyohangaika ooooh maaaa'

Siujui jina, naombeni msaada wa kuupata tafadhali
 
Mwenye mashairi ya wimbo wa the mushroom band kindege charukaruka

Unaanza hivi

Nami nakupa mfaanoo wa mwanamke katili...

Huku ni **** meno kwa madebe ya thamani ......

Siukumbi vema mwenye mashairi atuwekee hapa
 
Kuna wimbo wa dini kaimba Jackson Bent nadhani unasema Tangu asubuhi mchana jioni usiku mimi naufurahia uzuri wako mpenz
 
Wadau niajee kuna nyimbo naitafuta bila mafanikio jina la mwimbaji limenitoka kidogo ila nakumbuka baadhi ya mistari
"Sheila sheila nimekutuma kwani moyo waniuma penzi langu linawakati gani nimempata wa bahat wengi wapo wanaokupenda niachie huyu aliyenipenda sheilaaa ooooh sheilaaa"
 
Wadau niajee kuna nyimbo naitafuta bila mafanikio jina la mwimbaji limenitoka kidogo ila nakumbuka baadhi ya mistari
"Sheila sheila nimekutuma kwani moyo waniuma penzi langu linawakati gani nimempata wa bahat wengi wapo wanaokupenda niachie huyu aliyenipenda sheilaaa ooooh sheilaaa"
Ester wasira-sheilaView attachment Sheila - Ester Wasira.MP3
 
Kuna wimbo mpya huwa jamaa anaimba vizuri sana ni mpya lakini ni kama wa kifaransa hivyo hata kujua jina imekuwa ngumu...ni kama kwenye chorus wanamalizia na ...bon a saan...bon a saaan...tutaata tutataaa...bon a saan...boon a saan[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii inawezekana sijaeleweka wadau? Ni wimbo unapigwa mara kwa mara inawezekana ni mwaka jana ama mwaka huu
 
Back
Top Bottom