Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yuko wapi?Dj Yusuph ana Ngoma nyingine Usiogope feat. Jay Moe na Bongo.
Naamini ni wimbo wa "Boney M" unaitwa "Hooray! Hooray! It's a Holi-Holiday "Wapendwa na mimi kuna nyimbo naitafuta ya wazungu ya zamani inahusu holiday. Watu wanatupiana makeki, mayai ila nakumbuka tu sehemu wanaimba "laa lalalalalala hey hey hey" X 2 then "I need some holi holi day, you need some holi holi holi day, she needs some holi holi day everybody needs some holi holi day"
Vinka - Bigambo, jaribu tuone kama ndio wenyeweKuna msanii mdada wa uganda kwenye wimbo wake kuna mstari unasema "sisi yo mvuga mvako sivuganyi nawe bigambo vyawe si vinji" ni wimbo wa kitambo kidogo nyuma enzi ya wimbo wa tinatine.
Malaika - Umphela AmandlaKuna kwaito moja hivi inachorus, " iyee, iyee.. iyeee.... Iyeee iyeeee"...... Mwenye kujua please naomba share nami ....
Big Audio Dynamite - Everybody needs a holidayNaamini ni wimbo wa "Boney M" unaitwa "Hooray! Hooray! It's a Holi-Holiday "
Thanks lakin sio huu....Naamini ni wimbo wa "Boney M" unaitwa "Hooray! Hooray! It's a Holi-Holiday "
Sio wenyewe mkuu, yeye shooting yake kaipigia bar..Kuna msanii mdada wa uganda kwenye wimbo wake kuna mstari unasema "sisi yo mvuga mvako sivuganyi nawe bigambo vyawe si vinji" ni wimbo wa kitambo kidogo nyuma enzi ya wimbo wa tinati
Vinka - Bigambo, jaribu tuone kama ndio wenyewe
Boss naomba nitumie nami nimekuwa nautafuta sana huo wimboNimebahatika kuupata wimbo niliokuwa nautafuta wa Anifa ya Makassy
Kuna msanii mdada wa uganda kwenye wimbo wake kuna mstari unasema "sisi yo mvuga mvako sivuganyi nawe bigambo vyawe si vinji" ni wimbo wa kitambo kidogo nyuma enzi ya wimbo wa tinatine.
Huo wimbo ninao, ila sijajua nimeuweka katika drive ipi.Mkuu jamaa anaimba gere unanionea mie, nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambua kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia. Nisaidiwe huo wimbo jamani.
Boney M hao nadhaniWapendwa na mimi kuna nyimbo naitafuta ya wazungu ya zamani inahusu holiday. Watu wanatupiana makeki, mayai ila nakumbuka tu sehemu wanaimba "laa lalalalalala hey hey hey" X 2 then "I need some holi holi day, you need some holi holi holi day, she needs some holi holi day everybody needs some holi holi day"
Dah. Kama sio huu sasa ni upi? Ungekuwa unajua Artist na jina la wimbo ungerahisisha kazi sanaThanks lakin sio huu....
Haya, huu hapa. Enjoy. Umeimbwa na Hassan Bitchuka akiwa Sikinde. Mwanzoni niweka ambao hauna quality nzuri, now nimeweka wenye quality nzuri.Mkuu jamaa anaimba gere unanionea mie, nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambua kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia. Nisaidiwe huo wimbo jamani.
Wimbo wa "Watoto Wamekuja Juu" original version ni ya Vijana Jazz. Baadaye mwanamuziki Komandoo Hamza Kalala aliurudia kwa Master Jay, ambapo umerekodiwa kwa ubora wa haki ya juu sana. Nimekuwekea zote mbili. Huo wa Matapeli nao nimekuwekea, quality iko vizuri sana. Enjoy mwamba. Usisahau kugonga likeNatafuta nyimbo 2 za dansi za vijana jazz,
1.Watoto wamekuja juu wanadai nyumba yao.
2.Matapeli "bwana mangushi nakupa pole sana kwani hao ni walaghai wanaitwa matapeli ooh"
Zinazo sikika vizuri.