kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ubarikiwe sana mkuu umetisha kwakeli umetembea mule mule!Haya. Baadhi hizi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubarikiwe sana mkuu umetisha kwakeli umetembea mule mule!Haya. Baadhi hizi hapa
Pamoja sana ndugu. Nimeangalia hapo juu, hii thread ina views milioni 3Ubarikiwe sana mkuu umetisha kwakeli umetembea mule mule!
Hiyo ni uthibitisho wahitaji ni wengi!Pamoja sana ndugu. Nimengalia hapo juu, hii thread ina views milioni 3
HakikaHiyo ni uthibitisho wahitaji ni wengi!
Mkuu kama itakuoendeza naomba wimbo wa TOT Plus jina siujui eitha umasikini au dharau mashairi yake kuna sehemu wanasema "kuwadharau wengine eti kwa sababu wewe una nyumba nzuri na una gari zuri yote maisha....Hakika
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Stay blessed broh 👊
Ya nani hiyo mbona siijui?Stay blessed broh 👊
Unaweza ukawa na ile ya Bou Nako - "Mara ooh"
Bou Nako wa Nako to Nako. Ni ya kitambo sana, kabla hata kundi lao halijafaYa nani hiyo mbona siijui?
Ngoja nijaribu kuisakaBou Nako wa Nako to Nako. Ni ya kitambo sana, kabla hata kundi lao halijafa
Bou Nako wa Nako to Nako. Ni ya kitambo sana, kabla hata kundi lao halijafa
Sa si ui download as audio mzee au ndio wale wa iPhone users?Hii ya YouTube niliiona. Shida ipo kwenye mp3
Ngoja nifanye hivyoSa si ui download as audio mzee au ndio wale wa iPhone users?