Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula chuma hii:Wimbo wa watengwa ft akon the rain wadau mtupie kama mnao..
Mkuu hii yuko Akon pekee kama unayo ambayo wapo na watengwa yani Jcb na Chindo man niwekee..
Miaka ya 2004 Kuna familia moja ya Baba Mama na Watoto wao kama Sita walikua wanazunguka mitaa ya arusha wakiimba nyimbo za gospo na kuuza kanda (cassette) za nyimbo zao . Nilizipenda sana. Mtoto wao mmoja wa kiume ndio alikua wHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Hii ngoma huwa inanibariki sana.Mkuu.. Huu hapa, but nili record from Redio.. Katambo, ila uko vizuri sana
Mi kuna ule wimbo kainstrumento kake kanapigaHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Mkuu, ni kiama au ule wa Kamanda!??Kaka wimbo wa Kiama wa Daz Nundaz
Huo wa inama inuka naangusha moja moja, nahisi ni twanga pepeta, enzi za Ali ChokiKuna ule wimbo unaimbwa hivi..
🎶"Tulikutana ki mjini mjini"🎶
Halafu Kuna ule
🎶"Inama inuka eeh naangusha Moja moja Leo"🎶
Halafu Kuna ule
Unaimbwa ivi
🎶"Kama wanipenda nipe mgongo nipande unibebe mpaka kwa mama ukinifikisha ntafurahi Sanaa"🎶