Kadri unavyozidi kuwa mtu mzima kuna namna unayaangalia maisha kwa angles tofauti.Sometime huwa nawaza wale watu wazima( umri umeenda) huwa wanafikiria nini kuhusu Kifo.
...Umegeuza...Siri ya Kaburi Aijuaye Maiti !...Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Usiogope jambo la lazima, mambo yote ya lazima yana raha yake, mfano haja kubwa, haja ndogo, kujikuna, kupiga chafya, kula, kulala n.kPoleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Ishawahi kukutokea?Hakuna kitu kinaumiza saana roho,,kama paleee,,,mpate ajali pamoja halafu ufe we peke yako tu...daahh,,roho inauma saana hapo[emoji2211]
Siku ngumu ni ya kwanza baada ya hapo utazoea shekhe.Mi kwanza nafikiria uke mda ndio niko kwenye friji sasa(hapa najiulizaga hivi jitajisikiaje)alafu na ule mda ndo umefukiwa alafu ndio kifusi kiko juu na wewe uko mle ndani sasa !daaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] alafu ndo siku kama 5hivi tangu uzikwe wale funza sasa wanavyokutafuna yaani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Si mda mrefu kutoka sasa utalifumbua hilo fumbo na hapo ndipo utajua ujui.Mkuu usitishike mule kaburi hakuna harakati yoyote mtu akishakata moto mwili ausikii wala kutambua kitu ndio mana wenzetu waindi wanachoma moto kabisa kwa kulijua holo uwa tunatishana tu .
Wanaume tumebaki wachache sana.Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Hahah! Mzee wa dark humor na wewe unaogopaNyuzi nyengine jau kweli yaani
Hii ni chaiYote uliyoyasikia kuhusu kutolewa roho siyo story ndio mambo yalivyo pale israili anapokuja kukutoa roho mtume muhamad s.a.w anasema maumivu anayoyasikia binadamu pale anapotolewa roho ni sawa umchukue mbuzi akiwa hai then umchune ngozi yake ya mwili yote bado maumivu yake ayafikii maumivu ya roho
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai yenye viungo vingiMaiti anapokuwa amekufa anaisi anaota kuwa amekufa yani yeye anaona kama ndoto ila pale anapoingizwa kaburini na kufukiwa mwenyezi mungu umrudishia roho yake na ndipo apo anazinduka na kujua kuwa kile alichokuwa anakiota siyo ndoto ni kweli kuwa amekufa upata furaha pale anapowaona wote mliokuja kumzika uhamini kuwa amtokubali kumuacha peke yake na ndipo atakapoanza kuwaita bila sauti yake inasikika na viumbe vyote kasoro binadamu na majini apo ndio atagundua kuwa hana msaada mwingine isipokuwa kwake mwenyezi mungu. niishie apo ni adithi ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafia diini majahazi mko na illusions sana..dini zimebakiza vitisho tu hasa suala la kifo mana hakuna mtu aliyekufa akafufuka ataleta mrejesho.Maiti anapokuwa amekufa anaisi anaota kuwa amekufa yani yeye anaona kama ndoto ila pale anapoingizwa kaburini na kufukiwa mwenyezi mungu umrudishia roho yake na ndipo apo anazinduka na kujua kuwa kile alichokuwa anakiota siyo ndoto ni kweli kuwa amekufa upata furaha pale anapowaona wote mliokuja kumzika uhamini kuwa amtokubali kumuacha peke yake na ndipo atakapoanza kuwaita bila sauti yake inasikika na viumbe vyote kasoro binadamu na majini apo ndio atagundua kuwa hana msaada mwingine isipokuwa kwake mwenyezi mungu. niishie apo ni adithi ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo ni proccess ya kuelekea upande wa pili.Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Basi ninyi wenye dini ndio wazushi wa kwanza..ulishamsikiza huyo shehe kipozeo na mawaiza yake.?iyo ya mabikra 70 ni uzushi wanaoeneza maadui wa uislamu amna kitu kama icho hakuna adith sahii inayoelezea ilo tukio
Sent using Jamii Forums mobile app