Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Waefeso 6:2-3
[2]Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,
Honour thy father and mother; (which is the first commandment with promise😉
[3]Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
That it may be well with thee, and thou mayest live long on the earth.
Sasa ulicho reply hapa na ulichoandika kwenye uzi wako unaona ni sawa?

Mbona kama umedata hivi?
 
To yeye, wengine Mungu wao ni uke (tupu ya mwanamke) na jua (sun)
Namsaidia To yeye kufumbua fumbo hili.
images-2.jpg
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Inna lilah wa inna lilah rajuun
 
Unaweza Kuta Jamaa Linasema Ukweli jamani..

Msidharau Walevi Ohoo😀😀😀

Mtume Muhammad (S.A.W)alisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu wazazi

Aliwahi kusema, “Radhi ya Allah ipo kwenye radhi ya wazazi, na ghadhabu ya Allah ipo kwenye ghadhabu ya wazazi” (Sunan Ibn Majah).

Pia kwenye Quran..
Screenshot_20241029_205105_Quran Swahili.jpg

Screenshot_20241029_205010_Quran Swahili.jpg



Usikute Kweli Jamani 😳😳😳😀😀😀😀😀😅😅🤣🤣

Kwenye Biblia..

Mithali 20:20

"Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu."

Wakolosai 3:20

"Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana."


Screenshot_20241029_205844_Biblia Takatifu.jpg


Screenshot_20241029_210055_Biblia Takatifu.jpg
 
Unaweza Kuta Jamaa Linasema Ukweli jamani..

Msidharau Walevi Ohoo😀😀😀

Mtume Muhammad (S.A.W)alisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu wazazi

Aliwahi kusema, “Radhi ya Allah ipo kwenye radhi ya wazazi, na ghadhabu ya Allah ipo kwenye ghadhabu ya wazazi” (Sunan Ibn Majah).

Pia kwenye Quran..
View attachment 3138582
View attachment 3138581


Usikute Kweli Jamani 😳😳😳😀😀😀😀😀😅😅🤣🤣

Kwenye Biblia..

Mithali 20:20

"Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu."

Wakolosai 3:20

"Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana."


View attachment 3138584

View attachment 3138587
Pazingatie hapo aliposema yeye anamuabudu "baba yake mzazi" na "siyo Mwenyezi Mungu "
 
Pazingatie hapo aliposema yeye anamuabudu "baba yake mzazi" na "siyo Mwenyezi Mungu "
Kati ya Allah na Jehovah yupi ni Mwenyezi Mungu anayestahili kuabudiwa?

Allah yeye hafanani na chochote. Hajawahi kuzaa wala Hana mtoto.
Jehovah aliumba mwanadamu kwa mfano wake.

Na mimi baba yangu mzazi aliniumba kwa mfano wake, yaani copy right kabisa
 
Back
Top Bottom