Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Kati ya Allah na Jehovah yupi ni Mwenyezi Mungu anayestahili kuabudiwa?

Allah yeye hafanani na chochote. Hajawahi kuzaa wala Hana mtoto.
Jehovah aliumba mwanadamu kwa mfano wake.

Na mimi baba yangu mzazi aliniumba kwa mfano wake, yaani copy right kabisa
Allah ni jina la Mungu linalotumika katika uislam

Jehovah ni jina la Mungu linatomika katika ukristo.
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Baba anazaa?
Alikuzalia wadi na hospitali gani?
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
😀😀 nimesoma comments, wadau wanakushambulia kweli kweli, cha kushangaza uyo mungu wao wanaemsemea hawezi kuja hapa kukushambulia yeye mwenyewe
 
Ndo maana mwanzo nilimuuliza "ameanza lini kuchanganyikiwa?"

Maana saivi ndo anadhihirisha wazi kabisa kuwa akili yake haiko sawa 😑
Twende ukajibu spana ninazokupiga nazo, acha kukimbia
 
Back
Top Bottom