Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Nilichelewa sana kujua kwamba Mungu Baba ni huyu Baba yangu mzazi aliyenizaa na kunilea. Mzee nisamehe kwa kuabudu miungu wengine

Tangu ni mtongoze mke wangu mara2 na kumwambia nipo single mke wangu ni marehemu niliacha kufakamia pombe tangu siku hiyo.

Mkuu Punguza pombe huko unakoelekea ni kubaya
 
John Kapongo Mugwata unisamehe sana, nimechelewa sana kujua kuwa wewe ndio Mungu Baba.

Najutia kosa langu hili kubwa, nilidanganywa na walimwengu wenye mangozi meupe, wakanipotosha.

Sasa narudi kwenye njia kuu naomba nikiahidi sitaenda tena kwa yule mungu baba feki niliyedanganywa
Afya ya akili
 
Allah hakuzaa wala hakuzaliwa. Jehovah Ana mwana wake wa pekee Yesu Kristo.

Allah hafanani na kiumbe yeyote. Jehovah alimuumba mwanadamu kwa mfano wake.
Makazi ya Allah ni Peponi. Makazi ya Jehovah ni mbinguni.

Peponi mwanaume mmoja anapewa mabikira 72. Mbinguni hamna kuoa wala kuolewa, wote mnakuwa mabibi harusi ya Mwana Kondoo aliyechinjwa, Yesu Kristo.

Peponi kuna mito minne, ukiwemo mmoja ambao ni mto wa pombe tamu sana, na mwingine mto wa maziwa, na mwingine mto wa asali na mto wa maji. Mbinguni ni mji wa kioo, barabara zake zimejengwa kwa dhahabu safi.

Peponi kuna starehe za kila aina, kula na kunywa, mbinguni hamna starehe zaidi ya kuimba, kusujudu, kuvua taji zenu huku mkisema Wastahili wewe Bwana, kupokea sifa, heshima utukufu na adhama


Sasa Mkuu kumbe wewe upo kidini Zaidi Ndio maana inakuwa ngumu kuelewa B'se kuna tofauti kubwa Sana kati ya MUNGU na dini
 
Uongo wa Mungu ambaye badala asikitike na kujilaumu yeye mwenyewe kwa uzembe wake kuumba dunia yenye uovu na binadamu waovu,

Anakuja kulaumu binadamu viumbe wake aliowaumba mwenyewe kwa uzembe wake na akijua kabisa watakuja kuwa waovu, Lakini akawaacha wawe waovu ila aje kuwapa adhabu siku ya mwisho.

Hii inadhihirisha kwamba Mungu huyo hajitambui kabisa na hajielewi kabisa.

Na Mungu huyo wa Biblia ni UONGO.
Mungu hakukuumba kama robot, una uhuru wa kuchagua jema au baya.
Hiyo adhabu ya siku ya mwisho ni ipi?
 
Sijaumbwa na yeyote yule.

Nimezaliwa kutoka kwa mama yangu.
Viumbe vyote vilivyo hai vina DNA zinazofanana, ile “lugha ya kompyuta” au mfumo unaoongoza umbo na utendaji wa chembe.
Swali: Je, kufanana huko hakuwezi kuwa si kwa sababu vinatokana na mzazi mmoja, bali kwa sababu vina Mbuni mmoja?
 
Wewe tuambie huyo mungu wako kaumbwa na nani kwanza
Mungu ndiye Chanzo cha nguvu au nishati isiyo na kikomo. (Ayubu 37:23 )

Hilo ni jambo muhimu kwa sababu wanasayansi wamegundua kwamba nishati inaweza kugeuzwa na kuwa kitu chenye uzani.

Biblia inasema kwamba Mungu ndiye Chanzo cha “nguvu zenye msukumo” zilizotokeza ulimwengu. ( Isaya 40:26 ) Mungu ameahidi kwamba atatumia nguvu zake kutegemeza uumbaji wake, kwa kuwa Biblia inasema hivi kuhusu jua, mwezi, na nyota: “[Mungu] huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.”— Zaburi 148:3-6 .
 
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu,Kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe, kujitetea mwenyewe, na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye kwamba yupo.

Huyo Mungu, God, El shaddai, Elohim, Allah n.k Kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe yupo, kama ana huo uwezo.
Mungu anajidhihirisha kwetu kupitia sheria ya asili, kupitia uumbaji wake, kupitia Neno lake, na kupitia Roho Mtakatifu . Yesu Kristo anawakilisha utimilifu wa Ufunuo wa Kiungu. Kinachoweza kujulikana juu ya Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu alidhihirisha kwao.
 
Mungu ndiye Chanzo cha nguvu au nishati isiyo na kikomo. (Ayubu 37:23 )

Hilo ni jambo muhimu kwa sababu wanasayansi wamegundua kwamba nishati inaweza kugeuzwa na kuwa kitu chenye uzani.

Biblia inasema kwamba Mungu ndiye Chanzo cha “nguvu zenye msukumo” zilizotokeza ulimwengu. ( Isaya 40:26 ) Mungu ameahidi kwamba atatumia nguvu zake kutegemeza uumbaji wake, kwa kuwa Biblia inasema hivi kuhusu jua, mwezi, na nyota: “[Mungu] huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.”— Zaburi 148:3-6 .
Mungu ni nishati kama ulivyosema ila mstari wa chini unadai Mungu kasema?????????
 
Mungu ni nishati kama ulivyosema ila mstari wa chini unadai Mungu kasema?????????
Mungu ameahidi kwamba atatumia nguvu zake kutegemeza uumbaji wake, kwa kuwa Biblia inasema hivi kuhusu jua, mwezi, na nyota: “[Mungu] huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.”— soma Zaburi 148:3-6 .
 
Mungu anajidhihirisha kwetu kupitia sheria ya asili, kupitia uumbaji wake, kupitia Neno lake, na kupitia Roho Mtakatifu . Yesu Kristo anawakilisha utimilifu wa Ufunuo wa Kiungu. Kinachoweza kujulikana juu ya Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu alidhihirisha kwao.
Haujathibitisha uwepo wa Mungu zaidi ya kuhubiri
 
Mungu ameahidi kwamba atatumia nguvu zake kutegemeza uumbaji wake, kwa kuwa Biblia inasema hivi kuhusu jua, mwezi, na nyota: “[Mungu] huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.”— soma Zaburi 148:3-6 .
Mungu hayupo hizo ni hadithi za kiimani tu
 
Back
Top Bottom