There ain't no replacement of men in da world. And it will never happening.

Men will be Men

Call them dogs, pigs whatever the shit u spit out but still men will be Men.

Hail to all men over the world

Hey!! U rainbow fags u can't be Men.

Am sorry!!
 
Sio wote wanaotunza familia zao wengi wao wanatunza Malaya .

Hata wasifiweje watu mia mie najua sio waaminifu tunaishi nao Kwa imani
 
Ntumie namba yako pm nikushukuru kwakukupa sadaka yangu baada ya kukuombea kwa mungu.
I wish mwanamke ntakayemuoa awe na mtazamo kama wako
 
Ubarikiwe sana kiongozi kwa kuwaangaliza akina mama esp. Walio na familia iliyokamilika i.e. Baba, Mama na Watoto wasibweteke na kutoiona thamani ya Baba hata kama ni mkorofi - Baba ni baba tuu.
 
Ubarikiwe sana kiongozi kwa kuwaangaliza akina mama esp. Walio na familia iliyokamilika i.e. Baba, Mama na Watoto wasibweteke na kutoiona thamani ya Baba hata kama ni mkorofi - Baba ni baba tuu.
Kabisa tulioishi na baba na baadae hawakuwepo tunaelewa pengo lao
 
Sio wote wanaotunza familia zao wengi wao wanatunza Malaya .

Hata wasifiweje watu mia mie najua sio waaminifu tunaishi nao Kwa imani
Inawezekana dear ndio maana nikasema nlpamoja na madhaifu Yao lakini Bado wanamchango katika ustaw wa familia
 
Nakuombea mume mwenye kheri na wewe
Kwa kweli wanaume ni nguzo ya familia
Tunavumilia mengi sana ila mengi yanarekebishika kwa subra ya hali ya juu

Mwanamke aliefunzwa maadili na dini pia hawezi kuchezea familia yake
Amiin amiin nashukuru
Ni kweli na wakiondoka ndo tunaanza kukumbuka na kusema Bora angekuwepo Kwa waliofariki ni mipango ya Mungu ila kunahawa wa makusudi tunaojiona tunaweza sana kilakitu
 
Well said๐Ÿ‘๐Ÿ‘

Wanaume wachakarikaji na wanaojali familia zao wana nafasi yao spesho mbinguni
Hata wapenz wanatuhudumia vizuri wapewe kiti wapumzike ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€wanatuokoa mno na Mungu awazidishie
 
Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.
๐Ÿ’ฏ๐Ÿค
 
Yes , wakuwapiga wake zao , kuwa bughushi na kuwashusha dhamani
Sina experience maah thamani yamtu mwenyew ndo unatengeneza
@Deepond mchepukaji high class lkni sijawahi sikia Uzi wa kumshusha thamni mkewe
Kwa wengine kama wako hivo wajirekebishe Sio jambo jemq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ