Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Inasikitisha sana mkuu eti nayo sehemu ya sifa ya kuwa kiongozi ni kuwa MASKINI haya ni maajabu kama ty mtu (mskini) ameshindwa kujisamamia mwenyewe kupata maendeleo yake binafsi ni Maendeleo ya Nchi ataweza kusimamia?
Maskini hawezi mletea maendeleo mtu kama hata yeye tu ameshindwa jiletea maendeleo
 
Kikubwa matajiri ndo tuwape uongozi! Hawa makapuku hawana lolote ndo wanaturudisha nyuma huku wao wakijineemesha
 
Mfumo wa ujamaa kwa sasa Tanzania upo vitabuni tu tena kwenye vitabu vya zamani! Hakuna anaye practise ujamaa saivi
 
Kikubwa matajiri ndo tuwape uongozi! Hawa makapuku hawana lolote ndo wanaturudisha nyuma huku wao wakijineemesha
Kama wako tayari kwa public scrutiny ya chanzo cha utajiri wao na wanalipaje kodi, we may gamble to to try.
Ila kama ni aina ya matajiri kama yule wa club moja ya mpira ambae anasema club ina thamani ya 40bn na akaulizwa, amejuaje club ina value ya 40bn; hakutoa jibu.

Hakuna la maana alilofanya jimboni kwake.
Kuna bilionea mwingine aliachana na siasa uchwara, ukikagua toka kawa mbunge 1994 mpaka anatoka, ni aibu.

Kupanga ni kuchagua!
Tuna nafasi ya kupanga na kuchagua hatma ya nchi yetu ila sio ya expense ya matajiri 'wajanja-wajanja'
 
Mfumo wa ujamaa kwa sasa Tanzania upo vitabuni tu tena kwenye vitabu vya zamani! Hakuna anaye practise ujamaa saivi
Kama ungekuwepo vitabuni kama unavyoamini basi tusingehangaika kusema mimi sio fisadi kwenye kampeni kama ulivyoandika kule juu.
 
Kuwa TAJIRI au MASKINI haipasi kuwa Qualification ya mtu kuchaguliwa kuwa Kiongozi.

Kiongozi wa watu ni zaidi ya hapo, maana TAJIRI hatakiwi kutumia pesa zake kuongoza, atazirudishaje?

By the way jajiri aache biashara zake akawe Rais Kwa mfano anataka nn?

Ikulu Pana biashara Gani Hadi matajiri wapakimbilie?
 
Akili zako sio tu za kimaskini ila ni za kijinga sana! Waislam na Wakristo tunasoma kuhusu habari ya male suleiman Mungu alimpa hekima na utajiri? Unajua kwa nini Mungu alimuongezea utajiri

Wewe na umaskini wako huwezi kuwaza sawa kama tajiri katika kuwaletea maendeleo wako! Tajiri from experience yake anaweza just afanye nini ili watu wake watajirike na wawe na maisha mazuri kiuchumi wewe na umaskini with no experience kwenye kutafuta pesa kwa mafanikio utawezea wapi?
 
Kama ungekuwepo vitabuni kama unavyoamini basi tusingehangaika kusema mimi sio fisadi kwenye kampeni kama ulivyoandika kule juu.
Kuongea kwenye kampeni hayo ni ujinga tu
 
Huyo bilionea uchwara aliyeachana na siasa uchwara kama hujui ndo muanzilishi wa mfumo wa bima ya afya ambapo serikali ya mkapa walicopy kutoka kwake na hadi leo watumishi wa umma wanautumia na kufaidika nao. Alianzisha mfumo huu jimboni kwake igunga mwaka 1995

Pia ndo amejenga kituo cha polisi kizuri zaidi Tanzania cha Oysterbay ambacho wanigeria wanakijadili uzuri wake kulinganisha na vituo vyao vya polisi
 
Kituo Cha oysterbay hakijajengwa na tajiri yoyote, kimejengwa Kama hospital,madarasa na Majengo mengineya serikali yanavyojengwa.

Wewe ni zaidi ya mpumbavu
 
Napendekeza waziri wa sekta fulani angalau awe na degree au masters inayohusiana na sekta anayoisimamia!
Waziri hatakiwi kuwa Mbunge, anatakiwa ateuliwe kutoka sekta inayohusika na Wizara husika
 
Kuna tofauti kati ya kupambana ku-build wealth na kuiba, Matajiri wa Tanzania ni wezi, tajiri aliyepambana alikuwa Mengi tu, wengine wote wezi!
Una akili za kimasikini sana
 
Waziri hatakiwi kuwa Mbunge, anatakiwa ateuliwe kutoka sekta inayohusika na Wizara husika
Haya mapendekezo nayakubali sana! Nakumbuka kwenye rasimu ya mzee warioba nililionaga hili
 
Kituo Cha oysterbay hakijajengwa na tajiri yoyote, kimejengwa Kama hospital,madarasa na Majengo mengineya serikali yanavyojengwa.

Wewe ni zaidi ya mpumbavu
Hujui Caspian ndo wamejenga kile kituo pamoja na nyumba za Polisi za Mikocheni Tanesco na Kunduchi? Unajua Caspian ni kampuni ya nani?

Basi nikusaidie maana inaonekana unapenda kupayuka tu bila kujua vitu! Caspian ni kampuni ya Rostam Aziz

Embu punguza kujianika uzumbukuku wako hapa
 
Kwa kenya wote aliowataja utajiri wao wameupata kwenye uongozi serikalini!!
Wameiibia Nchi !! Hata mkuu wao anamtuhumu mgombea mmoja kwamba ni fisadi mkubwa !! Kwahiyo kwa mawazo ya mtoa mada Viongozi wenye kujua kutafuta pesa kwa njia yeyote hata ya ufisadi ndio watakaotuletea maendeleo ya haraka hapa Tz !! Kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya Jf !!
 
Wameiibiaje nchi?
 
Suleiman mfalme hakuwa TAJIRI aliingia kuwa mfalme akiwa kijana mdogo tena mtoto wa Suria au nyumba ndogo. Hakuna aliye mjua.

Utajiri wake ulikuja baada kuomba HEKIMA na maarifa Kutoka Kwa Mungu. AKAPEWA ndo Dunia nzima AKAITAWALA.

Daudi babaye Suleiman alikuwa MCHUNGAKONDOO, alipakwa mafuta alitokea mbugani akaacha mifugo, alitokea familia ya Yese maskini kabisa.

We usitetee wezi, wauza dawa za kulevya wanayotaka kutakatisha fedha kuukwaa urais watuuze.

Nasisitiza TAJIRI au MASKINI haitoshi kuwa Qualification kuwa KIONGOZI.

Ni zaidi ya hapo.

Ameeeen.
 
Umesema suleiman hakuwa Tajiri alafu unasema alikuwa mtoto wa Mfalme Daudi!

Kuna mfalme mwenye mtoto maskini?

Alafu kwa nini Mungu alipompa ufalme alimuongezea na utajiri? Hujifunzi kitu hapo kuwa huwezi kuwa kiongozi mzuri kama sio tajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…