Sijaona popote aseme tumchangie, naona wewe umeitafsiri stori yake kwa mgongo wa michango(fedha).Pole.
Kwa hiyo tukuchangie upate Vyumba viwili?
Sasa sisi tutakuwa na uhakika gani kama wewe ni KE kweli?
Au ni mtu unatafuta tu namna yakuishi?
Watu wengine mna kejeli zisizo na maana kabisa. Atauza simu mara ngapi? Huyu msaada mzuri ni kuwa na chanzo cha kipato amabcho atakigemea. Wewe hujui smartphone siku hizi ni kifaa muhimu sana kwenye maisha?Ukipata mtu ukamuuzia hiyo smartphone unayoitumia...utaweza kulipia watoto chumba chao...japo kwa miezi miwili huku ukiendelea kujipanga...itakuwa imekusogeza mahala....
Pole sana. Usikubali ukutane naye kwa faragha. Mlifunga ndoa? Nadhani ni vizuri kama mtamaliza mambo kisheria kwa kwa vikao.Kuwasaidia watoto ni mpaka akutane na mimi faragha? Mwenye nia ya kuwasaidia watoto angewasaidia tu, ndio maana nikikataa analeta maneno kama nilyosema kuwa nina jeuri, kiburi, nitakuwa na mwanaume ambaye ananipa kiburi, na kusema hatawasaidia kwa kuwa nakataa.
Nadhani hamjaelewa, lengo la msaada wake ni mpaka akumbushie na mimi maana yake apashe kiporo, nimeandika bila kufunguka nikajua mnaweza kuelewa.
Mimi na yeye tulishamaliza safari, siwezi kuruhusu hicho kitu kitokee abadani asilani eti ili watoto wapate matunzo.
Kwa kweli uyo jamaa sio bwege kiasi icho aondoke kwa staili iyo kuna kitu uyu mama aja sema ila kwa upande wake ame tueleza yanayo tia huruma tu basi .kufikia hapo hii mada bila kupata story ya upande wa pili tuishie kusema pole tuSIKUZOTE USIMUAMINI MWANAMKE hasa anapojieleza kuhusiana na misukosuko ya ndoa yake au mahusiano au na mume/mpenz wake... Ni waongo wanafki watafuta huruma tu...
Unajua watu wengi huwa mnaongelea kitu kinachoitwa msamaha ila hamkijui maana yake. Kulingana na story ya huyu dada tayari amekwisha samehe na ndio maana ameendelea na maisha bila huyo jamaa yake.Hapa kuna vitu viwili: Msamaha na Ndoa.
Msamaha hauna maana kwamba nakubali, bali kutoa nafasi ya kujifunza na kuendelea. Na hii si kwa anae samehe au anae samehewa, ila wote.
Kwa maneno mengine, anae kataa kusamehe na anae kataa msamaha, wote wanafanya kosa na hivyo wanaharibu hali yao ya ndani. Kwa hiyo wana haribu uhusiano; uhusiano kwanza na Mungu na pili na jamii.
Kuhusu ndoa. Kwa uelewa wangu, ndoa ni jambo la akili, ambapo ikishafungwa haiwezi kufunguliwa kwa sababu yoyote; labda kama hakukuwapo na ndoa.
Kwa hiyo, kama hawa ndugu walikuwa kweli wana ndoa, itabaki hivyo daima kwenye akili na hilo haliwezi kubatirishwa.
Kitu ambacho tunatakiwa kujua ni kuwa, mambo yote mema au maovu, mazuri au mabaya yanayoweza kutupata kwenye ndoa, tunapaswa kuyapokea na kuyavumilia kwa unyenyekevu.
Kabisa. Kabisa. Unajua vijana wa siku hizi shida sijui ipo wapi.Baba Yao kasema yupo tayari kulea watoto wake na kuwahudumia so Cha muhimu watu mlio Katika ndoa wake kwa waume tulize de libolo kwa mke mmoja mlee watoto wenu na sio kila siku mnawaza uzinzi tu mwisho mnawatesa watoto kisa ndoa zenu fake
Jamaa anakudharau sana aiseee. Usije ukaruhusu hata akuguse. Akikugusa m'babue bonge la m'bao wa shingoni pale chini ya kidevu usawa wa kolomelo na kifua vinapokutana katika collar bone.Kuwasaidia watoto ni mpaka akutane na mimi faragha? Mwenye nia ya kuwasaidia watoto angewasaidia tu, ndio maana nikikataa analeta maneno kama nilyosema kuwa nina jeuri, kiburi, nitakuwa na mwanaume ambaye ananipa kiburi, na kusema hatawasaidia kwa kuwa nakataa.
Nadhani hamjaelewa, lengo la msaada wake ni mpaka akumbushie na mimi maana yake apashe kiporo, nimeandika bila kufunguka nikajua mnaweza kuelewa.
Mimi na yeye tulishamaliza safari, siwezi kuruhusu hicho kitu kitokee abadani asilani eti ili watoto wapate matunzo.
Weka namba ya simu.Asante, ila sidhani kama kuna sehemu nimeomba mchango. Japo kama unataka kusaidia na kujua kama mimi ni ke na nayosema ni kweli naweza kukuthibitishia.
Labda kwa asiewajua nyie,ushindwe kuwalisha sumu watoto kama hupo tayari kumsikiliza mzazi mwenzio anataka muongee kuhusu nini?Mimi sina tatizo na yeye, nilisha yaacha yapite ndio maana sijihangaishi hata kutaka chochote kutoka kwake wala kujua anakoishi. Na kuhusu watoto wake wala sijawaambia ubaya wowote na wala hawaulizi chochote. Ila mimi kumsikiliza kwa namna ya kuyajenga haitakaa itokee chini ya jua hili hata kwa bahati mbaya.
Anaonekana ana kiburi sio cha nchi hii japo hatufahamiani but i can smell it[emoji3]Pole sana dada!
Ninaomba kukushauri. Kama mume wako amekutafuta na ametaka mzungumze, msikilize.
Kwa uelewa wangu, kukataa kumsikiliza unafanya kosa, kosa zaidi. Kwa kusema hauwezi kuonana nae unaharibu akili yako; unajiadhibu mwenyewe.
Kwa hiyo, kwa msimamo huu, kama ndio dhamira yako, unashiriki kwenye makosa yaleyale; nawe unakuwa mkosaji hata kama haukuwa na kosa.
Msamaha sio kusema nimekusamehe au nimesahau nilitendewa au kutenda, bali hali hiyo ni lazima uifanye iwe vitendo au matendo.
Dada, msamaha ni mlango wa mema yote, ni nguvu ya kupata chochote; ni pia uponyaji.
Anae samehe anamkaribisha Mungu ndani yake.
Katika hiyo paragraph ya mwisho sasa hapo ndipo umemwaga madini. Na huo ndio UANAUME. Fanya uasherati wako vizuri tu ila linapokuja swala la familia yako hebu jitahidi sana kuwapa heshima yao na hadhi wanayostahili.Baba yao kama walivyo wababa wengine wapuuzi, alikua anatafuta njia ya kujirudi Kwa mwanamke aendelee kupasha viporo.
Lkn pia inawezekana mpaka akataka kujirudi nisababu alipokuja mambo yalibadilika.
Ni chaguzi sahihi sana ALOFANYA mtoa Mada hata kama ana shida ya Uchumi.
Kuhusu wababa kutulia kwenye Ndoa zao, hapa suala ni Akili ya Mwanaume mwenyewe , Kuna hao wanachepuka na kusahau familia, alafu Kuna Mimi, nachepuka lkn Huniambii kitu Kwa Wife na wanangu na wanangu wengine.
Hebu acha Unyanduzi wako hapo.Bibie ukipata mtu mzima mwenzio upo tayari kuishi naye?
Maana sipati picha miaka yote 5 umeishi bila kunyanduana kweli inawezekana?
Kama hutajali karibu inbox tushauriane maana mm ni mstaafu kwa hiyo hekima ninazo na kutosha.
Pole bibie ndio maisha.
Nakuja DM kukuelekeza vizuri.Mbona makasiriko tena!!?? Nimesafiria nyota yake kivipi
Sasa kwan Smart phone imeingiaje hapa?! Mbona waafrika huwa tunapenda sana kuwaona watu at their lowest ndipo tunaona wanaweza saidika ila sio kuwasaidia bila kuwakagua.Ukipata mtu ukamuuzia hiyo smartphone unayoitumia...utaweza kulipia watoto chumba chao...japo kwa miezi miwili huku ukiendelea kujipanga...itakuwa imekusogeza mahala....
Wabongo wanataka wakati anakusaidia ume haujachana nywele, upo vululu vululu, manguo machafu, umechafuka haujaoga mwezi mzima, umeshinda na njaa ziku mbili, umekondeana hapo ndipo atakusaidia ile ya kinafiki.Watu wengine mna kejeli zisizo na maana kabisa. Atauza simu mara ngapi? Huyu msaada mzuri ni kuwa na chanzo cha kipato amabcho atakigemea. Wewe hujui smartphone siku hizi ni kifaa muhimu sana kwenye maisha?
Usinizibie riziki kama hizi.Hebu acha Unyanduzi wako hapo.
Tunaangamizwa kwa kukosa maarifa.Amekufanyia ukatili sana, usimsamehe na uzidi kumuombea laana juu yake, waambie na wanao baba yao ushenzi alioufany. Umepitia wakati mgumu sana haileti maana leo kirahisi umsamehe, achana na ushauri wa wapuuzi humu eti msamehe. Achana na huo ushauri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fedhuli lahabith la hamali mkubwa.Usinizibie riziki kama hizi.
Sisi ndio tunaofufua mipira iliyokufa.
Mkuu asante. Umesme akweli na umenikumbusha kitu. Nikusahihishe kidogo. Hata ukiwa na mwonekano unaosema hupati msaada. Mbongo anatoa msaada pale anapoambiwa zinatakiwa fedha za jeneza na kusafirisha marehemu.Wabongo wanataka wakati anakusaidia ume haujachana nywele, upo vululu vululu, manguo machafu, umechafuka haujaoga mwezi mzima, umeshinda na njaa ziku mbili, umekondeana hapo ndipo atakusaidia ile ya kinafiki.
Ila umuombe msaada upo na muonekano mzuri hiyo hawakubali. Kama ni mwanamke ataomba mchezo kama ni mwanaume atakupotezea.