Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Ni upepo tu, kila mara kunakuwa na binti/mdada kinara anatrend almost kila uzi. Sasa vimba bichwa uone wana watakavyojisevia, watu hawana huruma aisee
 
Huyu mtoa mada ndo huyo ephen mwenyewe kafungua ID kibao juzi tu basi ni mwendo wa kujipakulia minyama mpaka basi
 
Dah umemuita wa nini?, ushaharibu tayari 🤦
Ndo nishafika 🤣🤣🤣
Ww mimi sijakuharibia kokote zaidi ya bff wangu, nimeona hamuendani na km familia tumekukataa.!!
 
Tatizo ulishajijengea picha ya mrembo fulani kichwani; jaribu kwanza kuwa marafiki mfahamiane kwa sura n.k ndipo uitimishe hitaji lako.
 
Back
Top Bottom