Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Watu weupe walishajijengea Misingi na Mitizamo mizuri tokea zamani. Sababu walishajua maendeleo kwa sekta yeyote msingi mkuu ni Mtoto, Inatakiwa akazaniwe tokea udogoni, afundishwe kua Disciplined.
Mtoto anayezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.
Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab zee la papuchi au Poor Brain mzee wa Action first maneno baadaye.
😂!
Mtoto anayezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.
Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab zee la papuchi au Poor Brain mzee wa Action first maneno baadaye.
😂!