kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
-
- #61
Umeniquote vibayaSasa umejuaje kuwa sijawahi kutapeliwa? Au ni muhimu kuja kuhadithia humu?
Aliyekuwa ananielezea sasa π π π π
Mimi natamani niandike kisa changu ila kuna mtoto wa mtu kashanivuruga na sms yake ya "nna shida" π
Mmmmh kuwa hiyo nyimbo ingesaidia nnTatizo mnasikiliza sana nyimbo za zuchu, ungesikiliza bonga daresalaam toka kwa nigga Jay, prof jize, pro
Aim globalMkuu hyo kampun ilkuwa inaitwaje please
Kaisikilize kwanza, hapo hapo ungekuwa makini kama vile ambavyo umetapeliwa. π€£πMmmmh kuwa hiyo nyimbo ingesaidia nn
Hawasemi good morning hata mchana wa jua kali? π€£πAim global
Jamaa yako alikuwa na uhakika wa kukupiga pesa mapema kabisa ulivyokubali kwenda huko dasalama.Alikuwa anafahamu asee maana alisema yupo tayari kuniongezea kwa package nyingine nikimaliza hii ya kwanza
Single mother hatujaona % zetu hapo....Hiyo 20% ilobaki ndo basi tena? Tuishi nao tu π€£π€£
Mimi natamani niandike kisa changu ila kuna mtoto wa mtu kashanivuruga na sms yake ya "nna shida" π
TawireeeeWanakuja mkuu
Dah ulimwengu shujaa Kuna rafiki yangu nae kaaminishwa kuwa atafanikiwa kwa njia kama hii nimemshaur aachane na haya mambo lkn kwanza ndo haelewi chochote
hao hawana hizo ila wanasisitiza kuvaa sutiHawasemi good morning hata mchana wa jua kali? π€£π
sio poa ankoNimecheka sana mazee ππππππ
Na njaanuary hii atapotea yeye mwenyeweMpotezee kidogo
Umeniquote vibaya
Dodoso langu lilikuwa kuhoji endapo tanakuri nilizoziwasilisha zimekuchekesha kwa namna njema
Na sio kuleta talanta zozote za mabishano baina yetu au wasilisho lako pia kuliwasilisha kwa mantiki ya kusema kwamba si kila jambo si kila mtu aona muhimu kuliwasilisha kwa hadhira
Ni hivyo tu madam na si marumbano ya tafakuri zetu
sawa boss nitaitafutaKaisikilize kwanza, hapo hapo ungekuwa makini kama vile ambavyo umetapeliwa. π€£π
Mimi nimewahi kupigwa kimeo miaka ya nyumasio poa anko
Hapa nimekuelewa sasa.Mkuu, kiukweli sijasoma uzi wako zaidi ya title
Sijui umeandika nini,nimeona tu uzi ni mrefu nitausoma wakati mwingine
Hata hivyo comment yangu haikuwa na lengo la marumbano...wala sijachekeshwa na uzi wako(kama nilivyokwambia nimesoma title tu)
Nachekaje mtu akitapeliwa?
Kilikuwa kimeo gani ankoMimi nimewahi kupigwa kimeo miaka ya nyuma
Da kuna kisa changu ntakileta sio muda, sasahivi naona uvivu kuandikaNa njaanuary hii atapotea yeye mwenyewe
Ha haaa π€£π€£π€£Mkuu hukuwa unasikia kama kuna kitu kimenasa kooni hakimezeki wala hakitemeki?
Kwenye ishu inayohusiana na pesa usije ukarogwa ukamuamini mtu 100% utajuta.