Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

Bado hujamshauri binti bro
 
Bado hujamshauri binti
 
Mwambie huyo mtoto aache ujinga.

Waoane tu. Haina makombo. Ibaki siri na waache kupasha kiporo.

Baba mkwe atulie tu. Kila mtu atunze siri.
 
Anauliza ushauri gani sasa, wakati mpaka sasa inaonekana wote kashapita nao
Hiyo ni Sawa na kuandika Cc:fulani ingali kiukweli hampo pamoja 🤣🤣🤣🤣
Uzinzi na Zinaa ni mbaya sana.
Hiyo ni dhambi bhana, achomoe tu
Malizia na mtoto MZINZI
 
endelea kupambana nao wote ibilisi mwema muda wote
Atafute pengine.
Muulize Mama yako maana ndo anajua kalea mtu mpumbavu wa kiwango gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…