T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Naomba nikuhakikishie ndugu wa kienyeji hata kwa mabomu ya machozi msamaha siwaombi ngβoooβ¦ππUmetuponda sana wasukuma rafiki yangu wa kienyejiπ
Tuombe msamaha katika hili tutakuloga uote BUSHA
πππππππ Kwahiyo wasukuma sio watu
Wasukuma ndo urithi wa taifa tuliobakiwa nao. Bandari, Mbuga na misitu, samia ameshauza kwa warabu.Imeniuma sana , unalisema kabila langu rafiki.
Lazy eyes wazamani Dr H hapa huu uzi ndio umeisha?.Umesoma jina la jukwaa lakini ndugu yangu πππwalio serious wapo jukwaa la siasa
Usilete...utaniua kwa pressureSijaliwa na H mkuu nimeokoka nampenda Yesu
Alafu siwez kuwaletea story za kuliwa jf hata iweje haitokas itokee
πHakula alafu H nae alikuwa mgeni kwenye game alinambia hivo na sikuwa nimewahi hivo suala la kuambiwa nimelala na mwanaume mwingine lilimuumiza akajua nimvunjwa usiku ule wakati alitaka aonje yeye wa kwanza na yeye hakuwa amewah ananisubiri mm tukavunjane. πππ
Aaliyyah umewaza nini mamii mpaka umekuja na hii story yako?πππππSorry jamn
Leta manenoUna pressure?πππ
Siwez leta hizo story hapa yani naanzaje kwanza ππ Sina huo ujasiri
π π π π me nilivyoona hivyo nikaona umepata mchumba unayempendaNilikuwa naongea na rafikiyngu akawa ananitania Nina ugonjwa wa kupenda π€£π€£π€£
Nikakumbuka Jinsi busu tu lilivonifanya niwe nalia kama nimefiwa π€£
Ndo nikaleta hiyo story