Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Una uhakika H hakula tunda? Mbona alikuacha ghafla kwa kisa kidunchu🤔
Hakula alafu H nae alikuwa mgeni kwenye game alinambia hivo na sikuwa nimewahi hivo suala la kuambiwa nimelala na mwanaume mwingine lilimuumiza akajua nimvunjwa usiku ule wakati alitaka aonje yeye wa kwanza na yeye hakuwa amewah ananisubiri mm tukavunjane. 😂😂😂
 
Ungemwambia kitu bado kipo angekuelewa🙄
 
😂😂😂
 
Imeniuma sana , unalisema kabila langu rafiki.
 
Yule msukuma wako anaendeleaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…