Hakula alafu H nae alikuwa mgeni kwenye game alinambia hivo na sikuwa nimewahi hivo suala la kuambiwa nimelala na mwanaume mwingine lilimuumiza akajua nimvunjwa usiku ule wakati alitaka aonje yeye wa kwanza na yeye hakuwa amewah ananisubiri mm tukavunjane. 😂😂😂Una uhakika H hakula tunda? Mbona alikuacha ghafla kwa kisa kidunchu🤔
Sio pori ni maeneo karibu na shule yetu pia sio Bali na nyumbani ndio ilamkulikuwa na amwe mengi hivo hakukuwa na nyumba ni njia tu ambayo pia hata watu hawapiti sana na miti Ilikuwa ni midogo midogo nimeelewaHapa umetulisha matango pori live bila chenga
Ungemwambia kitu bado kipo angekuelewa🙄Hakula alafu H nae alikuwa mgeni kwenye game alinambia hivo na sikuwa nimewahi hivo suala la kuambiwa nimelala na mwanaume mwingine lilimuumiza akajua nimvunjwa usiku ule wakati alitaka aonje yeye wa kwanza na yeye hakuwa amewah ananisubiri mm tukavunjane. 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Ni
Sio pori ni maeneo karibu na shule yetu pia sio Bali na nyumbani ndio ilamkulikuwa na amwe mengi hivo hakukuwa na nyumba ni njia tu ambayo pia hata watu hawapiti sana na miti Ilikuwa ni midogo midogo nimeelewa
Kitu gani? 😋Ungemwambia kitu bado kipo angekuelewa🙄
Nikukute jukwaa la kilimo na mifugoKitu gani? 😋
😂😂😂Akampigia
Irene akamsalimia akanipa simu
H;mambo
Mimi;poa Ile kinyonge
H;unasemaje
Mimi;nataka kukuelezea ilivokuwa
H; sitaki kusikia umeniumiza sana umevunja uamninifu kama unamtu si ungenambia kwanini unidanganye mim na wewe ndio basi na kesho naondoka siwez kukaa hapa na maumivu kiasi hiki na hutaniona Tena
Niliangua kilio kama nimefiwa nikawachukia watu sana hakusinisikiliza akakata na simu
Nilijiuliza hiyo story zilimfikiaje sikukaa pale hata dakika 10 nikajita kwenda pale nikajuta kuongea na yule kaka nilimchukia kupita kiasi
H akaondoka kweli hakutaka kuniona nikatuma barua hazikujibiwa nilihangaika sana Sasa kilichonitesa ni hisia zile moment zilinichanganya kuachwa ghafla kukanitesa kila nikipata memory kuhus H nahis naishiwa nguvu napata hali flan isiyo ya kawaida kwenye mwili Ni kama napigwa shot 😭😭😭Kila ikifika usiku naamka nakaa kitandani naanza kulia😂😂😂
Siku moja mamaang akanikuta nimeangua kilio balaa akasonya akaondoka
Kutoka wakat huo nikajua hisia zinatesa kuliko hata hayo mapenzi yenyew Ile hali ya kushindwa kujitetea na kutosikilizwa ilinitesa sana nilikuwa natamni aje nimwambie ila namuonea wapi nae hakutaka kabisa kurudi alivofanya mtihani akaenda Kwa nduguzake wengine Irene akasema nimuache tu Aishi maishayake
hujawahii kuliwa VICHAKANI,...au hujawahii KULIWA?Sijawahi had umri huu na sitowahi kamwe
Baadae uje kuomba msamaha location Ile Ile😂😂😂😂😂Sorry jamn
🤤Bila shaka saivi ndo mmeo, si ndio‽‽‽akaja mtu mwingine ndio akafanikiwa ila Kwa H hapana
lakn kuliwa ni kuliwa🧐Sijawahi kulia kichakani aisee
Kuhus H hakunila
Imeniuma sana , unalisema kabila langu rafiki.Hili kabila bhana😁😁😁😁juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 😳😳😳wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari😌.
Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Ili hii story isiwe chai itabidi atuhadithie na ya jamaa ambae alifanikiwa kufanya nae mchezo mbaya 😆😆😆Story za wanawake hua hazisemi kama wameliwa wakati ground mambo ni tofauti kabisa😃....Anyways mapenzi ya utoto yalikua na hekaheka nyingi sana
Yule msukuma wako anaendeleaje?Hili kabila bhana😁😁😁😁juzi niko kwenye bus kwenda sehemu fulani,nimekaa na msukuma seat moja ghafla wakaanza kuongea kilugha na msukuma mwenzie aliyeseat ya 50 😳😳😳wakati huo tuko seat 20 huko aise Nilitamani nimzabue makonzi phaller yule maana alishanikwaza na mziki wake tangu tunaanza safari😌.
Hili kabila inabidi liwe kundi maalum shenzi kabisa
Mpaka leo upo hivo😋? Au ni kipindi hicho cha H tu.nilivo mpole na msichana mzuri Sana hakika siku ikabarikiwa