Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Ni kawaida mkuu 😂
Lishangazi kimoja hivi lisilokuwa na Hela 😀😀😀
 
Hivi Mpaji Mungu ni mchumbaako wa ngapi!??
Embu akuje huku,isije ikawa yeye huyu!
 
Nia yako ulikuwa unataka kumpa maumivu kama aliyo kupa, sema nini shangazi nime enjoy love story yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…