Ni kawaida mkuu 😂Hapana mimi mzigo ningeuacha kwa kweli😀
Ila inaonyesha wewe Aaliyyah ni mwanamke mrembo,mzuri na msafi wa mwili na roho
Nikirejea kwa mkuu wa shule na huyo H wako kukupenda😀
Najiaminisha kuwa wewe ni mali safi na bando changa kabisa mkuu😀
Hivi Mpaji Mungu ni mchumbaako wa ngapi!??Hii wiki Niko very happy ngoja niwape kisa nilivoachwa na mpenz wangu wa kwanza😃😃
Miaka mingi nyuma nilikuwa na rafikiyangu ambae ni jirani yetu pia alinizi kama miaka miwil umri,alikuwa anansoma shule ya boarding hivo tulikuwa tunaonana kipindi Cha likizo
Rafik yangu alikuwa ni wale watoto kwenye zile familia maarufu mtaani tumuite Irene
Siku moja tukiwa tunapiga story akanambia ana ujumbe kutoka Kwa H tumpe Hilo jina
nikamwambia anipe akaingia ndani akaja na barua 😃akasema Itabid nirudishe majibu kunamtu apewe aende nayo maana hayupo Kwa Sasa
Nikaichukua nikasema hebu nikaifungue nikiwa home bhana nafungua nakutana na ujumbe maridadi kweli kweli
Barua ya mapenz iliyoshiba kweli kweli maneno matamu mwanzo Hadi mwisho nakupenda nying sana huku mwisho na dedication za kutosha nlisoma Ile barua huku natabasamu vibaya mno 😃😃
Kuhusu H
Ni mkaka flan mpole sana ni binamu wa rafikiyangu hivo nilikuwa namuona maranyingi akija kutembea Kwa shangaziyake huku mtaani kwetu,alikuwa anasoma shule moja ya kubwa ya seminary hapo mkoani babayake alisoma pamoja na mama yangu enzi hizo hivo namfahamu japo hatukuwa na ukaribu
Ile barua nilifurahia mno H alikuwa kijana smart sana,na hii ndo Ilikuwa mara ya kwanza kwangu kuvutiwa na mvulana nikamwambia akamwambie anipe muda nifikirie nitampa majibu wakat huo H alikuwa likizo Dar Kwa nduguzake wengine so barua alimpa rafikiyake wakiwa shule Ili inifikie Kwa urahisi na sikuwa natumia simu kipindi hiko
Bas bhana feeling Kwa H zikaanza japo sikuwa naelewa Kwamba mapenzi ndio yalivo nikawa naona ni busara kuisoma Ile barua Kila mara Kwa kuirudia rudia😃😃😃
Baada ya wiki 2 nikaenda kwao na Irene Ile nafika sebuleni namkuta H kajaa tele nikaona aibu sana akanisalimia nikakaa kwenye kochi kiroho kinadunda sana nikaona hapa siwezi nikaaga nikaondoka muda huo H akanikata jicho la wizi wizi 😃
Wazazi wao hawakuwepo mda huo mara Irene akaniita niende kuongea na H
Akatoka nje nikamfuata tukakaa sehemu nyuma ya nyumba ya shangazi yake
Akauliza kuhusu jibu lake nikaanza kujizungusha zungusha nikakataa H alilalamika sana nikaona machozi yanaanza kumtoka 😭
Akabembeleza sana mwisho nikakubali wakat huo tumekaa mbali kidogo hivo hatukushikana hata mkono H akaaga akaondoka
Safari ya mapenzi ikaanza
Kimbele mbele kikazidi 😃😃
Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka
Inaendelea sio ndefu
NAKAZIAUlikutana na mlamba midomo wa sinza ,yaani uingie lodge na hela nimelipa alafu eti uniambie habari za huna hisia na Mimi ? Haki basi utanilamba lamba tu ili niridhike nikiruhusu uende zako
Mkuu nimesitisha😂😂Hivi Mpaji Mungu ni mchumbaako wa ngapi!??
Embu akuje huku,isije ikawa yeye huyu!
Wivu unataka kuniuaKwann Jamani 🤣
Nia yako ulikuwa unataka kumpa maumivu kama aliyo kupa, sema nini shangazi nime enjoy love story yako.Baada ya kunibembeleza nikamwambia tutaongea vizuri siku nyingine sikuwa na muda mrefu wa kukaa nae pale akaondoka wakat huo tushakuwa wakubwa na nilishakuwa na moyo mgumu sikuwaga na huruma kabisa na H
Akaja siku ya pili nikaongea nae safi nikaanza kumuita na bby akawa anafurahi mno nilikuwa ukimya ungepungua kias nilikuwa nampigisha story anacheka anafurahi sana
Nikagundua alikuwa na msichana wakaachana lakini hakuwaha mtu wa mambo mengi kama vijana wengine ilichukua wiki 2 kumjaza kuwa Bado nampenda Sana akajaa mawasiliano non stop tukapanga mizagamuano na H
Nakumbuka Ilikuwa mida ya saa moja jion tukatoka
Tukaenda sehemu akaja na zawadi kitu ambacho sikukosea ni kupendeza kias attention Ilikuwa kwangu mda wote kama saa 3 tukabook room tukaingia ndani nikakaa kwenye kochi nilishapanga kufanya shambuliz la kushtukiza
Tangu kuachana had sikueile sikuwa na hisia nae kabisa akinibusu nilikuwa naona ni kama ananifinya alinifata pale kochi
Mimi;naomba tuongee
H;niambie bby alikuwa anapenda kuniita jinalangu Kwa kifupi mara nying
Mimi;naomba kuondoka Niende nyumbani
H;kwaniin kipenz unaumwa
Mimi;nikamwambia nimegundua Sina hisia na wewe kabisa kama zamani
ndugu zangu hapo ni mkavu kuliko anavonijua
Alikaa kimya kama dakika 5 akaanza kulalmika msamaha ukageuka akaanza kuomba yeye muda huo nilikuwa simuangalii usoni maana ningemhurumia
Akaniuliza kweli huna hisia na Mimi nikamjibu ni kweli Sina
alafu ninasauti flan hiv nikimwambia mtu simtaki hawez kuamini 😂😂😂
Muda huo Bado nipo kwenye kochi
Yeye alikaa kitandani akasimama nami nikasimama nikawahi kufungua mlango 😀😀😀
Ukweli sikuwa na hisia nae Tena ni miaka mingi tangu tuachane nilishamove on
Sikutaka kujua ilikuwaje ila alikuwa ananipigia sikupokea
Akaanza kutuma sms za kulalamika nikamwambia ndio imeisha hiyo kipind hiko nilikuwa na mtu ananipenda balaa sikuwaza kuhusu H Tena
Story ndio imeisha hapo 😍😍😍
Ana wachumba wangapi Mimi siwajui 😂😂Hivi Mpaji Mungu ni mchumbaako wa ngapi!??
Embu akuje huku,isije ikawa yeye huyu!
Hivi madam umeshaolewa!??Ana wachumba wangapi Mimi siwajui 😂😂
Namna hii✅kikujibu mwambie aje kuniona
Kuna mtu anasubiriwa hapa☺️Niko single mwaka wa Tatu hata mpenz Sina
😂 Utani tu!Sijawah kuomba unionevwa maana ni kiherehere chako ndugu
Peleka makasiriko Yako huko mbele
Kwa tabu sanaNamna hii✅
😂😂🙌Niko single mwaka wa Tatu hata mpenz Sina🤣🤣🤣🤣
Mara hii ushamaliza kusoma?😂Best story