Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Je na Mungu ni Mungu wa Wakatoliki tu? Lakini iwe kweli isiwe kweli Mfalme wa Dunia hii ni Shetani na mengineyo ni kujilisha upepo tu. Sisi wengine kusudi letu ni kuishi na Kristo Mbiguni tukiimba na kufurahi. Mengine wacha yatupite
 
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege

Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM

Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana

Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji

Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo


Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?

Pale kuna siri na historia nzito

Unamfaham Michael Angelo?

Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya

Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana

Unamfaham Raphael? Nenda Vatican

Watu walichora na kuchonga kwa 3D

Unajua waliosababisha kiswahili kikue?

Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale

Unafahamu Galileo alipata nini?

Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza

Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa

Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu

Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni

Huwa naeleweka na JF Genius Members kama Wewe na baadhi hapa ila kwa Wapumbavu ( Majuha ) Waandamizi lazima watanishangaa tu nasimama kwa 100% kwa Mada yangu hii husika tena nikijiamini kabisa.
 
Papa Pius alijaribu kushindana na Napoleon Bonaparte, lakini jamaa likaenda hadi Vatican na kumteka Papa kisha kutangaza kwamba Kanisa Katoliki halitamilikia ardhi tena wala kuingilia siasa za nchi. Ardhi walikuja rudishiwa mwaka 1929 na Benito Mussolini kwenye Mkataba wa Lateran.

Hilihilo Kanisa la Katoliki lenye nguvu, lilishindwa kupambana na wakina Robespierre na The Jacobins Club hadi kupelekea mapinduzi ya Ufaransa ya mwaka 1789. Kwenye yale mapinduzi ya Ufaransa The Jacobins waliua mapadri 30,000 ndani ya siku moja aidha kwa kukata vichwa (Guillotine) au kupigwa risasi kichwani.

Mwaka 1861-1864 Papa na Vatican walimwambia Jeff Davis (Mkatoliki) kwamba akianzisha vita dhidi ya Marekani Kaskazini basi Papa atayaambia mataifa ya Kikatoliki ya Marekani Kusini yemuunge mkono. Vatican ndiyo lilikuwa taifa la kwanza kuitambua The Confederacy ambayo kama nchi wakati inapigana vita dhidi ya The Union. The Jesuits walishindwa vibaya sana na Lincoln akainuka kidedea, mwishowe wakamtuma John Wilkes Booth (A Devout Catholic) kumpiga risasi Lincoln. Kichekesho ni kwamba baada ya kumuua Lincoln, bwana Booth alikutwa yuko Vatican kama moja ya walinzi wa Papa. Ulysses Grant akaomba jamaa arejeshwe Marekani, lakini jamaa akakimbilia Uingereza.

Kichekesho kikubwa zaidi ni pale ambapo Papa na genge lake la Jesuits walibagazwa na kudhalilishwa na mwanamke hodari kabisa, Elizabeth I. Mwaka 1588 Kanisa Katoliki liliwatuma wahispania na meli zaidi ya 130 ili walivamie dola la Uingereza ambalo lilikuwa limeukana Ukatoliki na kugeuka dola la Kiprotestanti. Meli zote zile na maelfu ya wanajeshi kutoka Ulaya, walishindwa kuivamia Uingereza na mpaka leo dola lile ni la Kianglikani. Baada ya vita Waingereza walitunga wimbo wa Kilatini usemao Flavit Jehovah et dissipat sunt (Jehovah blew his winds, and they were scattered). Baada ya kushindwa vita na mwanamke Kanisa Katoliki likaamua kuiadhibu Uingereza kibiashara na vikwazo, lakini dola la Kituruki chini ya Sultani Murad III waliiokoa Uingereza isiangamie.

Kichekesho cha mwisho Kabisa ni jinsi ambavyo The Jesuit Order ilishindwa kuzuia mwanafunzi wao mpendwa mwenye akili kabisa Adam Weishaupt kutengeneza The Bavararian Order of the Illuminati mwaka 1776, chombo ambacho kilitumika kupambana na Kanisa Katolikia hadi kupelekea mapinduzi makubwa barani Ulaya hadi kupelekea kanisa Katoliki kubomolewa vibaya na Vatican kuvamiwa.

Mnamo karne ya 13, Mongke Khan na jeshi la Mongolia walijipanga kuvamia Ulaya Magharibi, hadi wafike Vatican lakini Mungu hakupenda na Mongke akafa wakati jeshi linaenda Ulaya. Lakini Kanisa Katoliki lilikuwa linauogopa sana utawala wa Mongolia hadi kufikia hatua kumtukana Qublai Khan kama The Spawn of Satan. Alivyoona hali inazidi kuwa mbaya Papa akaanza kutuma zawadi Mongolia ili kumshawishi Qublai ashirikiane naye hasa kuruhusu Ulaya itumie The Great Silk Road.

Nafahamu na nakubali kwamba Kanisa Katoliki lina ushawishi mkubwa sana duniani, lakini kuna sehemu huwa linakanyaga kwa utaratibu. Hizo nguvu ambazo mnataka kuwapa nadhani nyingine mnazidisha na pengine mnakuwa na mawazo sana yasiyo na kichwa wala miguu. Hapa Tanganyika wakati wa Ukoloni kuna baadhi ya Mapadri wa Kizungu ambao walimshawishi Chief Edward wa Wamassai adai uhuru wa Wamassai peke yake nje ya Tanganyika lakini, hola, akashindwa.

Lakini mwisho kabisa, Kanisa Katoliki lilipotawala Ulaya kuanzia karne ya 5, kipindi hiki kiliitwa KIPINDI CHA GIZA (THE DARK AGES), ambako Ulaya ambayo ilitawala dunia kwa uvumbuzi, sanaa, majeshi na utaalamu mbalimbali ilioza na kupoteza mwelekeo. Watu hawakuruhusiwa kusoma wala kufikiri (lilikuwa ni kosa kufikiri kama mtu huru). Walificha na Biblia na kusema kwamba mwenye mamlaka ya kutafasiri Biblia ni Papa (The Pontifex Maximus a.k.a The Pontiff) ambaye ndiye alikuwa ni mjumbe wa Mungu duniani (The Vicar of Christ). Baada ya Kanisa Katoliki kupoteza nguvu Ulaya ndiyo kikaanza kipindi cha The Enlightenment ambacho kilizaa dunia ya leo ambayo tunaishi.

Kikubwa kinachonichekesha dhidi ya Waprotestanti na Wakatoliki, ni kiwango cha Ujinga kilichopo kichwani kwao. Mtu anakaa kabisa anaanzisha uzi akisifia dini ambayo Mzungu Kaisari Constantine, Martin Luther au Ellen G, White walianzisha (Upuuzi, puuzi tu wa mwafrika): Wengine wasiokuwa na akili pia kama yeye wanakuja kumuunga mkono kutetea hii nadharia ya kijinga ambayo kama ina ukweli wowote ule basi Taifa hili haliwezi kuendelea na kuwa taifa la watu huru. Maana watu wanakaaa kabisa wanafurahia nchi yao kuongozwa tokea The Vatican.

Pik Botha aliposema mwafrika hana akili wala hana tofauti na mnyama, nikiangalia huu uzi na wachangiaji wengi nadhani kuna sehemu alipatia. Mwafrika hata umpe bunduki ataanza kuua mwenzake na wala siyo mzungu (Huu uzi ni ushahidi tosha).......


WALE RELIGIOUS ZEALOTS AND ENEMY OF REASON & COMMON SENSE POVU RUKSA !!!!!!!!!
Mkuu umemaliza.
 
Kwa sasa kila mtu akijisikia kuandika anaandika anavyojua. Hivi Warioba, Malecela, Msuya, Lowasa na Sumaye nao ni wakatoliki?

Nimesema na Kuelezea vyema katika Nafasi za Urais na Umakamu wa Rais na siyo Uwaziri Mkuu kama ulivyoelewa Wewe vibaya kwa Kukurupuka Kwako haraka utadhani Kinyesi cha Uharo.

Idiot.
 
Kwani Jiwe lilienda Vatican?

Nimeelezea vyema tu kuhusu Wao kwenda na kwa uendaji Wao nasikitika kwa Upumbavu wako umeshindwa Kunielewa na umeniuliza Swali la hovyo hovyo.

Waziri Mama Ndalichsko ana Kazi Kubwa mno ya Kuboresha Elimu ya Tanzania ili iweze ama Kupunguza au kuondoa kabisa Wapuuzi ( Mahayawani ) wa mfano wako.
 
Nayaheshimu sana na mno Madhehebu mengine yote ukiachilia langu la Katoliki, ila kwa Tanzania hii na Nguvu ya Kanisa Katoliki tokea Uhuru na lilivyojikita indirectly katika Siasa za Tanzania huwezi kuwa Rais wa Tanzania au Makamu kama siyo Mkatoliki. Ukilibishia hili unataka tu Ligi isiyokuwa na maana kwani ndiyo Ukweli wenyewe.

Huko nyuma nakumbuka nilisema na leo narudia tena Kusema hapa hapa JF kuwa hata wale Marais wa Dini zingine waliowahi Kutawala ( Kuongoza ) Tanzania pia huwa ni lazima iwe ni kwa Uwazi au Kificho waende Vatican kwa Papa na ilipo Ngome Kuu ( kama si Kitovu ) Cha Ukatoliki ili Kujitambulisha.

Na hii Nguvu ya Ukatoliki haijaibuka tu bali ni Makubaliano ' Maalum ' yaliyoluwa ya ' Kimkakati ' zaidi tokea Awamu ya Kwanza ambayo imepelekea kuwa na Kiapo cha ' Siri ' kwa Watawala ( wenye Dhamana ) kuwa nafasi zote zinaweza Kutwaliwa na Madhehebu mengine.

Ila kwa Urais au Makamu wake piga ua si Ombi bali ni lazima awe Mkatoliki na hili wala halina Mjadala na kwenda nalo Kinyume ni Kujitafutia matatizo hasa ikizingatia ndiyo Dhehebu Kubwa Tanzania na lenye Waumini wengi kama ilivyo Duniani lakini pia ndiyo inaaminika kuwa ni Werevu na Wasomi wazuri.

Kwa wale Wakristo wenzangu ambao mnaota ( mnawaza ) kuja kuwa Marais Tanzania miaka ijayo Generalist nakuambia ( nakuambieni ) mapema tu kuwa kama hutokei katika Dhehebu Kubwa la Katoliki sahau labda utaishia tu kuwa Waziri Mkuu au Nafasi zilizopo za chini.

Hata Mama nae si kwamba alichelewa Kumchagua ( Kumteua ) Makamu wake Kimakusudi ila alishatahadharishwa mapema tu na Watu waliokuwa wanalijua hili kuwa lazima Mteule wake awe Mkristo lakini pia atokee katika Dhehebu Kubwa, lenye Nguvu na Ushawishi la Katoliki.

Mlionidhihaki huko nyuma endeleeni tu.
Hizi Nyuzi za vipindi vya sikukuu ambavyo huangukia mwisho wa mwezi huwa zinanifurahisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ... hasa kwa mimi mwenye uzoefu wa akili za walevi na wale wenye uraibu wa mihadarati huwa nainjoi sana

Yani huyu mwandishi alikua steam za kutosha halafu akajipa uintelijensia kwa kuchambua hisia zake na kujiaminisha moja kwa moja kwamba Tanzania haijawahi kuongozwa na Raisi na Makamu wake kwa pamoja wakiwa ni waumi wa dini tofauti na ukatoliki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa baada kuchambua hisia zake bwana huyu ndio akatuijia na uchambuzi yakinifu kabisa wa mwaswala ya Uraisi wa Tanzania na Jumuia ya Ukatoliki Duniani

Kwakweli mimi niongoni mwa watu wanao subiriaga vipindi hivi vya sikukuu hasa Pasaka inayoangukia mwisho wa mwezi

Jaribu na wewe kufuatilia utagundua
 
Mkuu unafahamu, Katoliki kwa utaratibu wao Askofu ni mkuu wa eneo husika

Pengo alikuwa anashambulia mamlaka ya Dar es Salaam ambalo ndio eneo Lake la utawala

Kumbuka Mamlaka ya Dar es Salaam
ndio kuna Ikulu
Askofu wa Songea anatawala Songea hivyo anashambulia mamlaka zake za jimbo Songea


Usiwachukulie Poa hao watu, Ukisikia alienda Vatican kusomea the sheria za kanisa usifikirie sheria za Africa

Kuna siri nzito sana

Wapuuzi wengi hapa hawatokuelewa.
 
Mkuu kanisa lina sura nyingi sana sana

Hao watu wanatumia gharama Kubwa sana kusomesha watu na hata kuwatisha kwa misaada

Ahaaa tatizo hamsomi

Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?

Unasumbuka na Wapuuzi wengi Ndugu.
 
Rais Mwinyi..makamu wake Anglican Malecela

Rais Kikwete makamu wake Dr Shein ..wote waislam
Rais Kikwete makamu wake Gharib Bilali
Wote waislam..


Sibishi nguvu ya Kanisa Katholiki
Ila sometimes tunawapa nguvu zaidi Kwa
Kueneza uzushi kama hivi
I conquer with you
 
Kama unasema hauwezi kuwa Rais au Makam was Rais bila kuwa mkatholic, hapo hapo unasema wa dini nyingine inabidi waende Vatican kujitambulisha....hauoni unajichanganya?

Kujitambulisha Vatican ndio kuwa mkatolik???

Mzee Mwinyi na hata Kikwete kwa Nyakati zao tofauti Walijisalimisha huko na hsta Ujumbe Maalum wa Papa kutoka Vatican ulitumwa Tanzania tena Ikulu kuja kuwaweka sawa na Kukubaliana.
 
Ni kweli nimelisikia kitambo hili lakini ..hata Congo DRC Kanisa Katoliki lina nguvu sana kupanga safu za viongozi wake

Wenye Akili na Wafuatiliaji wa Masuala Mtambuka kama Wewe ndiyo mtanielewa vyema Generalist Mimi ila kwa wale Wapuuzi kamwe hawatoweza Kunielewa kabisa.
 
Catholic hawana nguvu yoyote ndio maana Ulaya imetapakaa kwenye vinchi masikini vya Eastern Europe,Africa na Latinos....nchi zote zenye nguvu Ulaya sio Catholics

Ningeshangaa sana kama Mlutheri, Muanglikana na Watu wa TAG wangeupenda huu Uzi wangu ambao umepiga pale pale na sasa mnaweweseka tu huku mkiwa mmenuna ( mmefura ) kabisa. Poleni ila Sindano najua imewaingia.
 
Back
Top Bottom