Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Bro... PM yangu ipo wazi
Hio dawa ya kumvuta dem yoyote ipo?😀
 
Duh! Aiseeee.
 
Kila mtu ataondoka na matendo yake hapa duniani, hata aombe akazikiwe papua island haitosaidia chochote ikiwa haukutenda mema hapa duniani, ivyo matendo yako ndiyo itapelekea uingie paradise, na ukiwa muisilamu.
 
andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe

ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.
Inafanya kazi kwa anayevutwa akiwa nje ya nchi? Nauliza tu jamani nataka kutesti mitambo
 
andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe

ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.
Mishuaa kila Rangi nmeandaa
Sindano tayari
Kitambaa kipo
Parachichi tayari (au tunda la kimasihara?)
Udi zipo Aina nne tofauti
Chumvi tayari
Aya Twende kazi au na nyanyo za pisi pia zinahitajika??
 
Mbna unaruka ruka mkuu tuanze na ile ya wanawake si ata Paula Kajala Dua tu au yule dawa haiswiii??
 
Mbna unaruka ruka mkuu tuanze na ile ya wanawake si ata Paula Kajala Dua tu au yule dawa haiswiii??
[emoji23][emoji23][emoji23]ni process ndefu japo ni jambo linalo fanya kazi kwa uhakika endapo likifanywa kwa usahihi
 
Kiufupi-Kuna taratibu ambazo watu hufanya ili marehemu akubali kuzikwa kule alipokataa pasipo changamoto yoyote.Binadamu anayeishi ana nguvu asikwambie mtu
 
Kuna watu ambao wana imani,kiasi akim-command marehemu hutulia.
 
Naona umerithi mikoba ya mshana
 
mkuu tumwagia mchele basi nasi tutafune
 
Binafsi hatukuweka jiwe ila tuligehza jeneza mbele nyuma nyuma pakawa mbele ili marehemu asitusumbue napo cha moto tulikiona.Msiba ulifika kwa tabu sana na maiti ilikua inalia machozi kabisa ma shingo ilikua imeangalia pembeni.Kaburi lilichimbwa matatu maana mawe makubwa yalikua yanajitokeza kuzuia kuzikwa.ikafanyika mila ndio kaburi la nne likawa saaa akazikwa.Ila cha moto tulikiona
 
Duh,mitihani sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…