Mwanaume una lingana nae umri ama amenizidi miaka 2 sasa si nitazeeka kabla yakeBado hujaaamua kutulia endelea kuhangaika tu na maplay boys wanaendelea kukuchakaza. Halafu bora kupendwa kuliko kupenda. Mpe nafasi anayekupenda huenda na moyo wako utabadirika na wewe utampenda pia.
😀😀Mods mna maana gani kupeleka huu uzi jukwaa la kilimo na ufugaji?!? Ni bahati mbaya? Nimewasamehe
Hapana mkuu alikuwa single tu sema bahatii mbaya hayupo tena dunianiAlikupenda kweli na ana mke na familia?
Ukichoka mkuu unatulia unarudi baadae ku commentsHuoni unatuchosha. Alaf hutaki mwanaume wa JF
Akikutunza vizur atazeeka yeye hata kama wewe imemzid umri Hilo usizingatie akija mtu anayenyoosha maelezo mwelewe waweza kula gudtime mpaka ukashangaa, au we wataka vigezo gani viweke tuvioneMwanaume una lingana nae umri ama amenizidi miaka 2 sasa si nitazeeka kabla yake
Kumbe ni wakina bhokeMusoma mkuu
Na kunyetukaNi kutumiana sms tu umekula umelala unafanyaje
AMna watu wa wokovu sisiNa kunyetuka
EeeKumbe ni wakina bhoke
Mwanaume anizidi umri yaani kwa umri wangu nipate mwenye miaka 30-35Akikutunza vizur atazeeka yeye hata kama wewe imemzid umri Hilo usizingatie akija mtu anayenyoosha maelezo mwelewe waweza kula gudtime mpaka ukashangaa, au we wataka vigezo gani viweke tuvione
Na mimi npo hapa hapa kanda ya ziwa
Ni msukumaNa mimi npo hapa hapa kanda ya ziwa
Yaan kwenye umri umelenga penyeweMwanaume anizidi umri yaani kwa umri wangu nipate mwenye miaka 30-35
Hapana sio msukuma ni mtu wa mkoa wa kageraNi msukuma
ShomileHapana sio msukuma ni mtu wa mkoa wa kagera
Ndio naemtaka mkuuYaan kwenye umri umelenga penyewe
Sio muhaya,ni msubiShomile
Umri wangu huoNdio naemtaka mkuu
Hongera mkuu.. natumai naMi nitapata Kijana wa Miaka hiyo anifanye kuwa mkeUmri wangu huo
OkaySio muhaya,ni msubi