Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Kama umetokea tabora au mlikutana Tabora chukulia kawaida. Mtu amesave mke wake "dada wa muhimbili" sababu walikutana hapo muhimbili miaka na miaka mpaka mke anakuja kushtuka na kumuuliza ndo na yeye anashangaa anabadilisha.
 
Hakuna pa kumkimbilia mkuu,kitakulamba tu 🤒
Ajue wote sisi tunapelekeshwa putaa wote tumo bus moja sasa ndo nn kila sikuu moyooo moyooo, TUSHAKUSIKIA tunajua unatendwa kila kukicha alaa mbona yetu walume ndago tumekauka tuu
 
Pole yako
 
Mungu anakupa wa kufanana na wewe. Kama hujatulia huwezi pata aliyetulia Never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…