Mungu ninan kwanza tuanzie hapo. Wewe inaonekana ukiwahiwa utapona weweKuna wanao sema yesu ni Mungu, vipi alipo kufa msalabani dunia ili baki na nani?.
kwanini aseme baba iki kupendeza niokoe na kikombe hiki?, ko ali kuwa ana jikejeli?
Kuna utaratibu unaufuata ,hilo hauwezi kukimbia ,kuna mipaka na baadhi ya mambo hauwezi kufanya kwa imani yako...Kuna mambo unafanya ...Sina dini yoyote wala sisali popote na nina ishi vizuri tu.
Sio kila anae kataa ndoa maisha yamempiga kijana , kukataa dini kuna husiana vipi na maisha kumpiga mtu?Kijana ni maisha tu yanakupiga ndyomaana unaona dini inakusumbua akili, bila shaka na wewe ni mwanachama wa kataa ndoa.
Hata usipokuwa na dini haipunguzi wala kuongeza kitu. Wewe hujielewi. Kama hao wanawake 72 unaona wivu basi jikaze tu huna lolote na ukafir tu unakusumbua.Angalia theory za kufikirika eti kuta kuwa na mabikra 72, kisa tu kasikia au kuambiwa.
vipi na hawa wanawake na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 viwa shughulikie?
mambo gani nafanya ambayo mimi siyajui ila wewe unayajua kuwa nayafanya?Kuna utaratibu unaufuata ,hilo hauwezi kukimbia ,kuna mipaka na baadhi ya mambo hauwezi kufanya kwa imani yako...Kuna mambo unafanya ...
Mimi nimetoa huo ujumbe kwa mtoa mada, wewe nawe nini hasa kinakukera au na wewe maisha yamekupiga na ndoa hutaki?Sio kila anae kataa ndoa maisha yamempiga kijana , kukataa dini kuna husiana vipi na maisha kumpiga mtu?
Hakuna mahali kasema inapunguza kitu au kuongeza kitu, yeye kaeleza mtazamo wake tu kuhusu dini.Hata usipokuwa na dini haipunguzi wala kuongeza kitu. Wewe hujielewi. Kama hao wanawake 72 unaona wivu basi jikaze tu huna tulolote na ukafir tu unakusumbua.
Hili ni jukwaa huru ukiweka mada humu kila mtu anayo haki ya ku reply kama huna jibu unavunga tu.Mimi nimetoa huo ujumbe kwa mtoa mada, wewe nawe nini hasa kinakukera au na wewe maisha yamekupiga na ndoa hutaki?
Janja janja tu, Hana hoja 🤣😂mambo gani nafanya ambayo mimi siyajui ila wewe unayajua kuwa nayafanya?
Naam“Life presents many choices, the choices we make determine our future.”– Catherine Pulsifer
Halafu sisi ni chama Cha ma jobless pro max, tuna uhuru wa kujibiana😆Hili ni jukwaa huru ukiweka mada humu kila mtu anayo haki ya ku reply kama huna jibu unavunga tu.
Kafiri maana yake nini?, asili ya kafiri ni wapi?Hata usipokuwa na dini haipunguzi wala kuongeza kitu. Wewe hujielewi. Kama hao wanawake 72 unaona wivu basi jikaze tu huna lolote na ukafir tu unakusumbua.
Kwa hiyo hauna utaratibu wa maisha ? Hata panya ana utaratibu wake katika maisha yake ya kila siku.mambo gani nafanya ambayo mimi siyajui ila wewe unayajua kuwa nayafanya?
mungu ni cheo,
wapo wengi wana majina yao(Yahweh, Allah, Zues, Osiris nk.)
hata wewe unaweza kuwa mungu
Mkuu kuhusu financial success mi sina hoja, maana jf haipimi uwezo wetu kwa keyboard!Kijana ni maisha tu yanakupiga ndyomaana unaona dini inakusumbua akili, bila shaka na wewe ni mwanachama wa kataa ndoa.
Huo u daktari wa keyboard Ume anza lini?Mungu ninan kwanza tuanzie hapo. Wewe inaonekana ukiwahiwa utapona wewe
Sahihi kabisa.Kajitambua
Una taka nimtaje kwa lugha ipi?Mungu wako anaitwa nani?
Siendi kokote, nime funguka macho tu.Maisha mema huko uendako.