Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Sasa si ungemwambia yeye mwenyewe hayo mapungufu yake? 😀
Polisi huwapendi au una waogopa
 
Uloposema tu kawa polisi basi hapo penzi ni kwishney.

Me akiwa poti ni sawa kua na Ke yeyote ila Ke akiwa poti acha aolewe na poti mwenzie.
Tayari dunia ilishambadilisha na sio yule wa shule.

Matumizi mabovu ni kawaida ya watumishi wengi wa serikali.
 
Mbona unalilia sana mkuu, anyway pole vidume tunajikaza hatuliilii hovyo.
Wengine tushaumizwa moyo umekuwa na ganzi, unaempenda wewe kapenda na mwingine, mwingine nae kapendwa na mwingine, huyo mwingine nae ana mwingine moyo sukuma damu so mashine.
Hajampenda mwingine mkuu muda wowote alikua tayar nimepeleke barua or posa kwao yaani ni icho kilibaki na alikua anamaanisha kweli na mimi nilipanga hivyo lkn nimeamuaa maamuzi mengine kama wangu tu Mungu alinipangia basi atanisubiri bila kumwambia anisubiri
 
sawa subiri
 
Umefanya la maana sana. Hao jamaa ni majambazi wenye magwanda, angeweza hata kukusukia mpango uibiwe.

Halafu huko madepo wanatafunwa kama muwa. Ni mwendo wa kuhamishwa toka afande mmoja kwenda kwa mwingine.
ARV zenyewe za tabu sasa hivi
Ni kweli mkuu hata mimi nawatafuna huku mtaani kwa kazi niliyo nayo kuliko anavyotafunwa yeye. Kingine yeye alishamaliza kozo
 
Muache aende mapenzi sio kulazimishana . Ikiwa unaona Huna maamuzi kwenye huo upendo achana nao .nikukumbushe tu kuwa tunaoa wanawake tusio watarajia.mungu amekadiria hivyo.
Naamini hata mimi lkn hata hivyo naomba apate mwanaume bora ili aje anisahau kabisa mimi mkuu
 
Mkuu sitakuja ku msahau kabisa kamwe atabaki kuwa role model kwa wote watakao fuata na hakuna atakae kuja kumfunika.

Lkn wacha ni move on maisha mengne yaendelee. Hakuna namna
Huwezi ku move on bila kumsahau
 
Utoto raha
Mkuu imenibidi nikaangalie profile yako kwanza wewe ni nan kwenye hili jukwaa lkn nimegumdua kuwa ni mkongwe sana since 2015. Hata hivyo lazima mimi nitakuwa mdg wako kwa hiyo hujakosea kuwa mimi ni mtoto
 
sizitaki mbichi hizi, bora umejua mapema maana ya akufukuzae hakwambii toka.
Hajanifukuza mkuu na hana ubavu kila kitu nimemzidi elimu na ukongwe kazin tena yey kaajiliwa kwa kutumia chet cha 4m4 uko jeshini aje apande vyeo anifikie mimi nipo mara 7 yake
 
Hapa kuna ukweli 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…