Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Wazo zuli mkuu ntalifanyia kazi kma itanibidi kama nitashindwa kabisa bila yeye maana huwa alikua ananishauri vitu vingi jambo kubwa ni kumtegemea Muumba wetu siku za ujana wangu

Maana anajua kazi ninayo ifanya changamoto zake
 
Wazo zuli mkuu ntalifanyia kazi kma itanibidi kama nitashindwa kabisa bila yeye maana huwa alikua ananishauri vitu vingi jambo kubwa ni kumtegemea Muumba wetu siku za ujana wangu

Maana anajua kazi ninayo ifanya changamoto zake
Sawa ,itoshe kusema huyo ndiyo wako ,Rudi nyuma wanawake wa hivyo hawapo kwasasa
 
ACHA NA MIMI NICHANGIE LAKINI SIO LA UMUHIMU ILA NIMEIPENDA SANA HII MOVIE
 
Bado hujamuacha, siku ukimuacha hautakuwa na muda wa kutuletea habari. Kama utabahatika kumuacha basi panapo majaaliwa utuletee storee refer Patrick wa Gilesi
 
Duh
Binadamu sisi ni Habari nyingine. Usikute alitaka sifa za kijinga kuwa huyu alikomaa na siri mpaka baba yake tulimfunga
 
Duh
Binadamu sisi ni Habari nyingine. Usikute alitaka sifa za kijinga kuwa huyu alikomaa na siri mpaka baba yake tulimfunga
Ndio hivyo mkuu sasa ni watu wa namna gani!! Niliuliza na jamaa wengi walisema kuwa ndivyo walivyo kuna jamaa anadai wamesomaa wote jamaa alikua na kosa dg la ulevi mchana akamkamata na kumsweka ndan kama hamjui yule. Jamaa hajawai kumsamehe hata alipo ludi kuomba msamaha aliuliza kama ningeiba jamaa anganipiga shaba huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…