fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Huko sabato utajuta bro,mke sio dini,mke ni mtuKwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
Hata kama ni changamoto ni angalau tofauti na huku kwingineMimi pia ni msabato lakini hata huko pia ni balaa, omba tu Mungu akupatie wakufanana na wewe.
Nimejuta nilipokuwa kabla sijawa na binti wa kisabato ila huku hata kama changamoto ni ndogo sanaHuko sabato utajuta bro,mke sio dini,mke ni mtu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile appbro
Sasa kama wewe hujaona changamoto mimi nitazionaje ili nikupeNipe changamoto kama unazijua
Imani yako imekusaidia, utapata tu ila chunga tu usijemzuia kwenda kanisani..Hata kama ni changamoto ni angalau tofauti na huku kwingine
Tafuta wakingaKwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
Haha mzee punguza ukali wa maneno.MTAACHANA TU
Hii inasababishwa na kukosa roho wa mungu na hofuHakunaga mapenzi bongo Zama zimebadilika tunaishi kidigitali siku hizi KULA TULE..UTUMBO MTUPU HAUTUPWI
Akikushinda huyo wa kisabato uende na Kwa mwamposa
Wewe kuoa bado.
Unafikiri ndoa ni dhehebu?