Nimeamua kuoa Msabato

Nimeamua kuoa Msabato

Kwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
Huko sabato utajuta bro,mke sio dini,mke ni mtu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hakunaga mapenzi bongo Zama zimebadilika tunaishi kidigitali siku hizi KULA TULE..UTUMBO MTUPU HAUTUPWI
 
Nenda kaoe kijijini kwenu. Ongea na mzee wako, shangazi zako na ndugu wengine wakutafutie mke.

Hawa wakukutana vyuoni na kimjinimjini usipokuwa makini utajikuta umeingia xha kike. Kuoa ni kazi ngumu kuliko unavyofikiria.

Ila jua tu utapata wa kufanana na wewe.
 
Kwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
Tafuta wakinga
 
Jiandae kubadili dini uwe msabato....ni kweli wako vizuri sema wana misimamo ya kipuuzi na wabaguzi sana hao.
 
Mleta mada amekufa kaoza kwa binti wa kisabato ila hatutaki kusikia uameamua kufufuka utulie pekeako oooh!

Nasema mtaachana tu
 
ok, tunashukuru kwa kutujulisha kuwa umefika salama kabla ata ya kuvuka mto
 
Back
Top Bottom