Nimeamua kuoa Msabato

Tuachueni wasabato wetu Nyie Endeleeni kudanga mjini.

Tutaenda kuoa hata wasabato wa vijijini ni wanawake wema kuliko Nyie
 
Sio kweli hao wasabato tunaishi nao ni wabinafsi na kama hana uelewa ndo wakushinda kanisani kila siku na wachafuuu
 
Hakika hata mimi siwezi fikiria kuoa binti ambaye sio msabato ,nimejifunza ni rahisi ndoto zako za mafanikio kutimia mapema kuliko dhehebu

Hizo ndoa za kisabato zina matatizo na wengi wanaishi kinafko saana uzinzi ndo unawashusha
 
Ni kweli mkuu 90% ya wasabato ni masikini. Mimi huwa sipendi kuishi kinafki kama hawa watu wazinzi halafu wakimyaaa
 
Naishi na familia ya kisabato jorani unafki kwenda mbele hawataki watoto wao wacheze namajirani tusio wasabato basi watot kama mazezeta wanajua kuimba kwaya tu. Mama mzuri ni yule anayewafundisha watoto positive na negative side kwa sababu tuko chini ya jua tunatakiwa tujue tujitambue ili tuishi. Believe watoto wemgi wa wasabato wanaishia kwenye uzinzi wa kutupwa na unywaji pombe uliokithiri sithubutu na huu usabato ni kupotosha familia yako uwe na familia inayojua watu wa kanisani shuleni na nyumnani ni hatari
 
😂😂😂umenichekesha nikakumbuka niliambiwa nikidate na binti nihakikishe ana D ya physics olevel
 
Naona ni kama hauhitaji mke ila ni udahili wa NACTE,hyo C ya hesabu na D ya Englis itasaidia nini ku solve tatizo la ndoa kama kuchepuka?
Uhakika wa mwanae kufaulu hesabu😂😂
 
Alafu sasaivi wana slogan yao ya tuoane sisi kwa sisi
 
Wewe naona unaangalia kinachoonekana kwa nje na sio kilichofichika.
Angali yai kwa nje ganda linaweza kuonekana chafu lakini kwa ndani kiini kkina manuufaa kwako
 
Uko sahihi! Mimi niwewahi kuishi karibu na Jews community wana ubinafsi sana. Similarly, kwa wasabato pia.

Ila siku hizi wameanza kubadilika kidogo
Kuna kitu nimekiona kwa wasabato walio wengi “ubinafsi” sasa sijui kipi kinapelekea wengi wao wawe wabinafsi!! Ama ni mtazamo wangu tu????
Samahani kwa nitakaowakwaza.
 
Hiyo sababu ya kwanza[emoji3166]
Mbona wasabato siku hizi wanasuka au n huku tu ninapoishi mm !?[emoji848]
 
Mm naitwa Mr integral.
Habari wana jf
Naamini ni wazima Wa afya,Natafuta mke aliye serious Wa kumwoa .Sifa moja wapo olevel awe na Hisabati B na pia awe na miaka 24 - 28.Hivyo kwa aliye tayari ani pm
 
Wewe kuna jambo baya umefanyiwa na msabato ndo maana comment zaidi ya mbili ni kuponda tu
 
Uteseke duniani na ahela ukachomeke kwa sababu ya nn mzee!!!?

Kula kitimoto weeweee!!!!
 
Ahahahaaaa ndani ya hiihii dunia mkuu?au mbinguni?
 
PF ndo nini?? ntawafuatilia zaidi wasabato
 
Shida yao kubwa ni wabinafisi tena wamepitiliza
Hadi nawaza,hivi kuna siri gani kubwa kati ya wasabato na ubinafsi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…