Nimeamua kuoa Msabato

Sijawahi kufaulu hesabu kwenye maisha yangu Ila nafikiri maisha yanasonga tuu. Ila nafikiri sikuepo kilaza
 
Nadhani unaongelea mabinti wa kisabato wa zamani, zama hizi hasa maeneo ya mijini karibu mabinti wote wanafanana kwenye tabia chafu. Hakuna tofauti kati ya mkatoliki, mlutheri, mpentekoste, msabato na muislamu. Imani imekuwa kama blanketi tu la kufunikia ufuska na uhuni mwingine.
Kuoa na kuolewa zama hizi ni jambo la hatari mnoo.
 
Akizingatia haya umwambiayo atakuwa amepata kitu cha thamani sana maishani mwake. Ashukuriwe Roho akuongozaye kuandika haya.
 
Ukikaa ukatulia ukawaza na kujua kipi ni hitaji la moyo wako matatzo kwenye ndoa yatakuwa kidg pia yakuvumilika kabsa, huo ufaulu cjui connection zake n zpi,
 
Kwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
 
Kama na wewe ni mtakatifu kama huyo binti basi sawa! Lakini kama na wewe ni wale wale hapo kwa namna yoyote ile lazima huyo binti akuache ili upate galasa mwenzio muende sawa usije ukamtesa mtoto wa watu bure!
 
Kama na wewe ni mtakatifu kama huyo binti basi sawa! Lakini kama na wewe ni wale wale hapo kwa namna yoyote ile lazima huyo binti akuache ili upate galasa mwenzio muende sawa usije ukamtesa mtoto wa watu bure!
Me mwenyewe napitia njia zile zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…