Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi unachekesha kwa kweli[emoji3]
First date = Interview😂😂😂😂 we jamaa ndoa kama kazi, mpaka CV si ajabu utafanya interview
Duuh yaani una mke wa namna hiyo na bado unapiga show za njeMkuu naomba nikuunge mkono kabsa maana kwa sasa nko kwenye ndoa ya miaka 4 na Mke wangu n msabato safi kabsa.
1-Tangu nioe sijawahi ona soda home zaidi ya juice ya passion au maembe na matunda tunda ya msimu ambayo ipo tu hapo nyumban everyday tangu juma3 hadi juma3. Nyama n kuku tu na occasionally red meat ila green na herbs kama kawa. Rozela, beetroot, nuts na mbegu mbegu na ma
Hahahah... usijali mkuuUtoe mwaliko wa hilo pilau
Nimetaka kutapika baada ya kuona hizi picha hasa hiyo ya juu imejifunua wazi. Nikikuta sehemu inauza kitimoto napita nikiwa nimeshika pua. Mnajitafutia uchafu na maradhi. Halafu kumbe biblia mnayojiita kwa jina lake (Christ's followers) imekataza kitimoto, pombe na uchafu wote!!
Usijaribu kuonja kitimoto hata kwa bahati mbaya. Ni nyama tamu zaidiNimetaka kutapika baada ya kuona hizi picha hasa hiyo ya juu imejifunua wazi. Nikikuta sehemu inauza kitimoto napita nikiwa nimeshika pua. Mnajitafutia uchafu na maradhi. Halafu kumbe biblia mnayojiita kwa jina lake (Christ's followers) imekataza kitimoto, pombe na uchafu wote!!
Ni zipi izo?Nakuhakikishia hiyo ndoa ishavunjika tayari kama matarajio yako ni hayo.....sifa za mwanamke kuwa mke ni zaidi
Wananzengo tumuambie au tumuache akajionee mwenyewe hao mabinti anaowatafuta.. NB: Usisahau siku hizi hawa tumii mafuta ya taa, wanatumia petrol...Nimefikiria kwa makini sana nimeona ni jambo sahihi kuoa binti wa kisabato, sababu ni zifuatazo;
1. Nitaokoa zaidi ya milioni 2 kwa mwaka kutoka kwenye hela za kuhudumia nywele. Milioni 2 ni kama matofali 2000.
2. Kwenye msosi nitaokoa hela nyingi sana kwa mwaka zaidi ya milioni 3 kwasababu mama wenye nyumba hatataka kula kitimoto, rost nyama,
Wataachana tuMe namkumbuka sana mrembo wangu wa kisabato alikuwa anajua kupika balaa, akikupikia pilau kuku hapo mjomba noma sana. Sema ni kweli hawa watu ni wacha Mungu sana nakumbuka kabla ya tendo alikuwa anapiga magoti na kuomba wakati mm hapo nina vyombo vyangu kichwani nawaza mbunye tu. Mm ni mkatoliki na nakumbuka alininunulia hadi vile vitabu vya kikatoliki (shajara etc..) ili nisitoke nje ya mstari, alinipenda sana huyu binti basi tu tulikuja kushindwana baadaye. Daah huwa nammiss sana tulikuja kushindwana baadaye, akaja kuolewa na msabato mwenzake
kitimoto ni kitu hatari.
NB: Kitimoto nitakula kwa siri bila mke kujua.
Bangi wanavuta hawanywiHongera ila uende kijijin maana me ni msabato hawa dada zetu wa mjini wanakumywa mpk bangi na nywele wanashonea weaving
Hapo ndio pakuchepukiaDah....ila kumbuka tu....no kwichkwich...toka ijumaa jioni hadi jmos jioni 🤣🤣🤣