Nimefuatilia mahojiano ya Godbless Lema na Odemba Star TV na hizi ndio findings zangu

Suala la fedha za join the chain litawachafua sana cdm. Huyu ni kiongozi mwingine wa cdm anashindwa kutoa majibu ya kuridhisha kuhusu fedha za join the chain.
Mbowe, Komu, Lema, unawapa jukumu la kushika na kutunza fedha za chama, kweli? Huko ni kuwatafuta lawama tu.
Hapo chadema ilikula kwao!
 
Zamani watu walikuwa wanaishi mpaka umri wa miaka 700,
This is a myth! it negates all hard-core scientific avenues of life as propounded by evolution, and particularly genetics! Nimastory ya biblia ambayo ni ongo. Living cell lazima ifike mahali and eventually will undergo atrophy!
 
Lema tunaomuona sasahivi Kwenye ulingo wa siasa ni mtu mwenye hekima na kipaji cha Uongozi historia yake huko nyuma haitusaidii maana Hata kina Trump walikuwa na madhaifu yao na Ronald Reagan hakuwa na digrii au diploma lakini alikuwa raisi wa USA🇺🇸 aliyeleta mafanikio makubwa ya uchumi Mpaka Leo ni mfano .

ukifiatilia x account yake anakosoa na anashauri Hata kwa viongozi wakuu wa nchi.
Anaonyesha ni mcha Mungu na anaijua bible vizuri .
Na mtu akikukosoa au kukupinga msikilize kwanza Kabla ya kumchukia au kumfurahia .
Ukimlinganisha na mbowe utakosea na hawawezi kufanana maana kila binadamu ana madhaifu yake na ubora wake ni kama Alama za vidole au mboni ya jicho .
 
CCM ni laana Kwa Taifa wala hakuna maneno mengine ya kuwazungumzia hawa mashetani.
 

View: https://youtu.be/SS75kUzQgZU?si=UthyS5QvYhNLT-BU
 
Sugu na Lema ni vijana, sihitaji Ligi katika hili.

Hata Hussein Mwinyi ni Rais kijana.
 
Mbowe, Komu, Lema, unawapa jukumu la kushika na kutunza fedha za chama, kweli? Huko ni kuwatafuta lawama tu.
Hapo chadema ilikula kwao!
Kanuni ya Fedha wekeza Fedha yako Kwa watu waliofanikiwa kifedha, usije kuisahau hii kanuni itakusaidia kwenye maisha yako.

Weka pembeni chuki zako dhidi ya Wachaga huwezi kuwapunguzia chochote, ni Sawa na kuwapiga vita Wakinga huwezi kuwashusha kibiashara.
 
Kwanini ccm huko hakuna Street thugs

Ova
 
Hao wapiga kelele wengi tunajuana. Asilimia kubwa michongo tu! Mpigeni chini Lema kwenye teuzi za ubunge muone kama atabakia kuwa kamanda.

Siasa ni ujinga bora hata wazee wanasiasa wa zamani walikuwa na elements za uzalendo
 
This is a myth! it negates all hard-core scientific avenues of life as propounded by evolution, and particularly genetics! Nimastory ya biblia ambayo ni ongo. Living cell lazima ifike mahali and eventually will undergo atr
Since the beginning of the planet (the Earth) till now, there have been a significant changes (transformations) on the Earth! Human and animals have been changing the patterns of living, including the age!

This is because the living things (including plants) were subjected to different phases of the environment in which they were living, due to changes on the earth, including climatic changes.

As the earth was keeping changes, so the living things on it! Even the sizes of the then living things were quite different from those we see to date.

I hope you have heard that there was a reptile specie which had a length of 12M, taken by Germans (our country is in constant demand of it), but we don't have such animals today. This is due to changes happening on the earth.

Therefore, we can say that the changes on the earth are the stimuli to changes of living things on it! These changes include the living age!
 
akili timamu ni pamoja kutambua mipaka ya kila jambo.
sio unaongea au kuandika kila kinachokujia.

huyu juzi katoka kumwambia mtu aspojirekebisha atakufa,sasa mtu mwenye akili anakuwaje na fikra kwamba kufa ni adhabu ya waovu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…