UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Mbowe, Komu, Lema, unawapa jukumu la kushika na kutunza fedha za chama, kweli? Huko ni kuwatafuta lawama tu.Suala la fedha za join the chain litawachafua sana cdm. Huyu ni kiongozi mwingine wa cdm anashindwa kutoa majibu ya kuridhisha kuhusu fedha za join the chain.
Hapo chadema ilikula kwao!