Nimefukuzwa na mwenyeji wangu naomba msaada wa hifadhi Dodoma

noma sana! jamaa anakijicho/husda
 

Ukweli ni kwamba...huna pesa huna thamani.
Ukiwa huna pesa hata mbwa wako atakubwekea mchana kweupe.

Ukiona uthaminiwa ujue sio wewe bali vitu vyako.

Nimeona mengi na nina mifano mingi bali muda hautoshi
 
Umeongea Kikubwa Sana

"Tutafute hela,tu enjoy maisha tuwe na upendo na huruma kwa wanaostahili"
 
Kama ni mzima wa afya na siyo mlemavu, nakushauri acha kulialia kwanza Dodoma joto hata nje unaweza ukalala.
Mwanaume mwenyewe wa Dar ataweza wapi? Kujilizaliza tu utadhani stend hazipo, sites hazipo akalale huko aendelee kupambana.
Tena Dar ndio hawanaga huruma nimelala sana site za watu, nimelala saaana stend, sharobaro wa siku upambanaji ni 0
 
Mtihani mkubwa sana huo isee!
 
Bado mgeni dom inamaana umefika kwa huyo rafiki yako akakufukuza ndani ya siku 2 au 3?
 
Umejiunga leo na unaomba msaada leo, pole lakini nina wasiwasi kidogo kama story yako ina ukweli wowote, hope watakusaidia
 
...Ameishashindwa Kaka! Ndio maana anaomba Hifadhi Kwa Watu. Ajiongeze na apambane....There is no Free Lunch...!
 
...Ameishashindwa Kaka! Ndio maana anaomba Hifadhi Kwa Watu. Ajiongeze na apambane....There is no Free Lunch...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…