Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
-
- #61
Ndo maana sijamtenga wala sijasema yeye anabaki salama. Soma kwa utulivu tu utaelewa.Umefanya utafiti na ukagundua hilo kwa wanawake wengine ukasahau kwa mkeo kua ukiondoka na yeye anabaki mpweke,ukweli ni kwamba ana kiben ten.
Unamtisha huyo mkuu.Atadanja kwa "pulesha"!😂Umefanya utafiti na ukagundua hilo kwa wanawake wengine ukasahau kwa mkeo kua ukiondoka na yeye anabaki mpweke,ukweli ni kwamba ana kiben ten.
Sasa wewe kijana mdogo "wa miaka 50+" Unadhani wakati unatafuna wake wa wenzio huko Dodoma hujui hapa Dar ulipomwacha mkeo, kuna watu kadhaa pia wanakusaidia? Maana na wao wake zao wako Dodoma....Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Kwahiyo list unajiita na wewe sio mtu wa mademu...!!!Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Tanzania hii miaka 60 bado ni "kijana"Miaka 50 ni umri mdogo
You la baba 😂😂😂😂🏃♀️
Wawe makin huku wewe mtu mzima hovyo ukijisifia kwa uzinzi haunaga tuzo huoNdo maana nimetoa tahadhari watu wawe makini ndugu.
Ni mtu mzima hovyo huyoKwahiyo kwa hiyo list unajiita sio mtu wa mademu...!!!
Michael Jackson alipofariki akiwa na miaka 59,Waamerika walisikitika na kulia huku wakisema amekufa akiwa bado kijana mbichi sana.Huyu jamaa yeye anajiita mzee?Sasa wewe kijana mdogo "wa miaka 50+" Unadhani wakati unatafuna wake wa wenzio huko Dodoma hujui hapa Dar ulipomwacha mkeo, kuna watu kadhaa pia wanakusaidia? Maana na wao wake zao wako Dodoma....
Hapo ni kama kubadilishana tu...
Kwahiyo kula tunda kistaarabu.... Na ukae kimya kiume. Siri nyingine zinaishia ukutani...
Ngoja niende aiseKapange foleni huku unatia huruma.Watakupa miguu na vichwa.🙏😂😂😂😂😂
Hajajisia ameonyesha uhalisia wa mambo.mbona huo ujumbe wake hauna maudhui ya kujisifia au una lako jambo.Wawe makin huku wewe mtu mzima hovyo ukijisifia kwa uzinzi haunaga tuzo huo
Nashuka hapa Nyang'oro kutoka kwenye basi nirudi kupata ushuhuda wa upangaji foleni.Ngoja niende aise
Sasa mkuu unataka wale wapi mkuu wangu,hii ndo dunia,good news ni kuwa hawajakutengenezea kashfa na kukutia hasara,shukuru,life is too short,have a good time big.Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
kama post ndo hizi kila siku, jammiiforum lazima idharaulike tu!!! hakuna namna.Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana.
Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara nyingi nakuwa Dodoma pia sababu shughuli za kikazi Serikali zimehamia huko.
Kama una mke wako yupo Dodoma wewe upo Dar. Kwa asilimia 90 hesabu maumivu. Usimchunge. Ujue tu analiwa. La msingi ajiheshimu. Hali ya huku ni mbaya wanawake wengi wana upweke, wanataka sana company. So inatokea ukisalimiana naye mara mbili tatu ukamtoa out. Basi... Anakuganda. Na anakuambia mapema tu ana mume na watoto au mtoto. So mnaanza kuibiana.
Asilimia kubwa ya wanawake ambao huja kikazi mara moja moja Dodoma hasa kipindi cha bunge wanaliwa sana na watu walioko huku na wale ambao walisoma nao Chuo au kufanya nao kazi zamani. Kirahisi sana.
Asilimia kubwa ya wanawake huendelea ku jamiiana na wanaume ambao walikuwa wa mwisho mwisho kabla ya kuolewa au ambao ilikuwa waoane nao. Kwa asilimia hii kubwa pia imenitokea kwa wanawake kama wa 4 hivi. Ambao miaka hiyo tulidanganyana hivyo. So now tunakumbushiana tu na kuendelea na mchezo mchafu.
Sisi wanaume ambao kwa sasa tumemaliza kusomesha au mahangaiko mengine ya duniani. Tuna nafasi kubwa sana ya kula wanawake wengine maana hatuna tena pesa za mawazo. Tumemaliza kila kitu muhimu. Na wanawake wanajua hayo. Wanatuganda sana.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaokopa kwa wanaume huwa hawarudishi pesa waliyokopa. Wanarudisha in kind. Wanakupa penzi. Nimefanyiwa hivi na wadada 3 ambao walikuja kukopa kwangu.... Baadaye tukawa wapenzi. Now hawakopi wanaomba tu nawapa. Na wawili ni wake wa watu.
Asilimia kubwa ya marafiki wa kike na kiume huwa wanakuja kulana. Hii nimefanya kwa watu 5 tofauti tofauti tumekulana katika mazingira ambayo hatukutegemea ila tukijificha kwenye pombe kuwa ndo sababu. Kisha tukaendelea na huo mchezo na wa3 wawili hatukurudiana tena.
Sasa hayo yanatokea kwa mimi ambaye si mtu sana wa mademu. Nawaza kwa mtu wa mademu inakuaje? Ukiwaza sana unaweza usioe kabisa. Ukaona bora uwe tu unaponea kwa wanawake ambao hujajimilikisha.
Hayo mambo yapo tu hata asingesemaHajajisia ameonyesha uhalisia wa mambo.mbona huo ujumbe wake hauna maudhui ya kujisifia au una lako jambo.
Na hawa ndo wazee wako hivi alafu tunalalamika watoto wa kileo hawana maadilikama post ndo hizi kila siku, jammiiforum lazima idharaulike tu!!! hakuna namna.
Acha kuogoopesha watu na karma sijui karama,hili kitu haipo labda kwa mpuuzi tu ndo ataamini,mimi nilisalitiwa au nilikataliwa na mpenzi wangu ilihali mimi maishani kwangu sikuwahi kufanya jambo hilo,je hiyo ni karma!? Yesu alisurubiwa msalabani je nayo wasema alikuwa analipa gharama za karma!?,kuna matajiri huvamiwa na kuuliwa na majambazi nao ni karma!?Kijana tunza uanaume wako sasa, KARMA IS REAL ipo siku usiyoijua utaja jutia hayo usipoacha..