Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa



Hiyo Iko bothside not only kwa wanawake
 
TTulia wewe,acha aage anakuja kuchukua cheti tumle,acha aje kwenye semina tumle n.k.
 
Huu ujuaji wa mambo ndo unawacost wengi sana ikiwemo na wewe mambo ya yesu na kusurubiwa sijui hapa yameingiaje tena, ulisalitiwa kwa ujuaji kama huu au unataka kutuaminisha kwamba ulkua msafi sana ila ulisalitiwa kimakosa/ulionewa eti.. So na wewe unaona mwanetu anachokifanya ni sahihi? Amini kwamba kila baya na zuri ulifanyalo lina malipo yake tena yana anza hapa uraiani tu...
 
MaOfisini nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu wake za watu wakiliwa,na bado ikitokea safari (fieldwork) wanaliwa sana.
Mwanamke wa kiafrika ni wako ukiwa naye kitandani.
Watu wanapaswa kujifunza hili. But naona sanakomaa tu na petty issues.
 
Acha kunitisha na karma sijui karama,nijibu yesu aliposurubiwa msalabani alikuwa analipa karma/karama ipi
 
Ni mtu mzima hovyo huyo
Kwa maelezo yake tayari ni malaya wa kiume
Mbona unatokwa sana na povu kijana? Una stress za maisha? Makasiriko? Just calm down ni kuendelea kupambana tu ukinikasirikia mimi haikusaidii
 
Umemjibu vizuri sana. Sijui kama atakuja tena na habari za Karma.
 
Kula tu za mwizi 40 wakiomba kupasua ft speaker ndo utajua cheap is expensive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…