Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Nimejikuta nakuwa baba wa watoto wengi bila kutarajia

Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
We tekeleza "Ila malipo ni hapa hapa duniani" wengine tunataka watoto we unaleta "ungese"

mkuu Kila mtoto utakae mzaa anakuja na Baraka na balaa zake" Itoshe kusema umewaza kwa kupanic "huja tuliza kichwa"
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Wewe mtoto mpumbavu sana, nani katombrr huyo mkeo na kumpa hiyo mimba? Unampa onyo asipate mimba halafu unampa mimba.
 
Hivi kichwa chako kipo sawa kweli,kwanin hamjatumia uzazi wa mpango??unamlaum mwanamke Ana kosa gani wakati unakojolea ndani ulitegemea nin??hembu kaa utulie ulee familia yako
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
We ni mnafki sana,kama uko serious kiasi cha kutaka kuacha watoto na mkeo sababu ya kutafuta pesa bac kajifunge uzazi we mwenyewe ili uwe dume lisilozalisha.Jua ukiwaacha hawatarudi kwako tena,utatafuta dem mwingine uanze kumzalisha,maisha hayako kama unavyotaka wewe.kama hutaki watoto hacha kutomba period.
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Unafaa sana kuwa comedian.
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
HUJISOMI
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Msikilize huyu dogo hapa

View: https://www.facebook.com/reel/1112313566978855
 
Awali nilikuwa nawaona single mother ni noma kumbe ni wazuri, wanatusaidia vema kulea watoto peke yao, hongera zao. Hebu fikiria una watoto kumi na kila mtoto ana mama yake, je hao mama zao utaishi nao kwa pamoja? Bora kuzaa watoto wengi kwa wanawake tofauti kuliko kuzaa watoto wachache kwa mwanamke mmoja mpenda uzazi wa mpango
 
Nilijikuta umri unapanda huku nikiwa na mtoto mmoja tu. Nikaona isije ikasemwa marehemu ameacha mtoto mmoja|wawili, ikabidi nizae na wanawake wengi watoto wa kutosha ili nikifa isemwe marehemu ameacha watoto wengi, sifa nzuri sana hiyo ya kuwa na watoto wengi kama mke mmoja hawezi kuzaa idadi kubwa ya watoto. Habari ya kuishi na wanawake wengi niliozaa nao watajijua wenyewe maadamu mi nimepata watoto wengi nao
 
Unashida kichwani mwako,mimba umpe wewe halafu mimba iwe ya mke wako,wakati ulipokuwa unashughurika ulikuwa umeambiwa tumbo la mwanamke ni benki ya kuhifadha pesa za kukusaidia kutimiza malengo yako tofauti na ya kuzaa?.
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Acha mambo ya kitoto wewe.
 
Pole sana mkuu...
Huyo mtoto hadi anafikia hatua hiyo lazima kuna sababu mkuu.
Na kuna mengi unapaswa kuyapatia majibu kabla ya kumuona kama laana kwamfano:-
Je, ulishiriki kikamikifu katika malezi yake wakati anakua?
Je uliwajibuka kama baba katika makuzi na mahitaji yake?
Je alikulia wapi kabla ya wewe kuishi nae?
Je alikua anacheza na watoto wa ainagani na tabia zipi?
Je hakiwahi kunyanyaswa alipokua udogoni?
Je wewe na mama yake mnamahusiano mazuri?
Kakulia kwa grandmother wake
 
Hii avatar iliwahi kunikosesha dem hapa ndani, so hata mimi sipendi jirani...😑
Mimi na mke wangu mpenzi, tuna watoto 8, watoto wa ndugu 2 na wadada wasaizidi 2, mbwa 2 na kuku wakienyeji zaidi ya 60.
Tunategemewa na wazazi, na kikubwa tunamshukuru Mungu kwakua sometimes tunakosa lakini hatupungukiwi..😊
Sema ulipotaja mbwa watu watahisi ni chai ila asikudanganye mtu ,mbwa ni familia kabisa maana anakula Kama ninyi watu .

Raha ya mbwa awe mkali ,unamlisha na jioni au mchana wajinga hawatii miguu nyumbani ,sio Kama jibwa langu limenenepeana masikini ,halibweki mpaka liwe na njaa ,natamani kumdukuza ila nimemzoea ,majirani wakija kazi kuwaangalia ,itoshe kusema huyu mtoto amekuwa mzigo kwangu na kumfukuza aende akajitafute siwezi nimemlea vibaya ,simuoni akiweza kula jalalani ,nipe ushauri rafiki nifanye nini na huyu mwanangu mkubwa
 
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda .
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mm kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1.nilipanga sitakua na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2.sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3.niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.

Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli .mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kua huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo .
Kaonyeshadharau kubwa sana na nisha apa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wakwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2.kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3 niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
mbona akili yako imekaa kimasikini masikini haiwezi kuhimili mikikimikiki ya utajiri
 
Sema ulipotaja mbwa watu watahisi ni chai ila asikudanganye mtu ,mbwa ni familia kabisa maana anakula Kama ninyi watu .

Raha ya mbwa awe mkali ,unamlisha na jioni au mchana wajinga hawatii miguu nyumbani ,sio Kama jibwa langu limenenepeana masikini ,halibweki mpaka liwe na njaa ,natamani kumdukuza ila nimemzoea ,majirani wakija kazi kuwaangalia ,itoshe kusema huyu mtoto amekuwa mzigo kwangu na kumfukuza aende akajitafute siwezi nimemlea vibaya ,simuoni akiweza kula jalalani ,nipe ushauri rafiki nifanye nini na huyu mwanangu mkubwa
Inahuzunisha sana mkuu....
Mbwa ni kiungo muhimu sana kwenye familia zetu sisi tusio jiweza kuajiri makampuni ya ulinzi.
Huyo mbwa wako nikweli umemzowea, lakini kwa ulivyo elezea hakufai tena kwa ulinzo hapo nyumbani, hope ulikosea kwenye malezi.
Nashauri mgawe kwa wafugaji na dogs trainers kisha tafuta katoto kengine uanze kukalea kwa mafundisho yako maalum ili uone tija ya kuwa na mbwa nyumbani.
 
Back
Top Bottom