Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Tizi ni muimu sana kwenye izo siku buku braza yaani hasira zote amishia kwenye tizi Kila siku masaa 2 kama we ni mtu wa ball nenda ground daily isopokuwa tu weekend na siku ukipata injuries 🤒,
Shukran mkuu ntazingatia hilo kikamilifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…