Sasa huyu anaeiba hela ndani ya familia na anayeficha hela ndani ya familia yupi boraDah, very disappointing sana. Mwanaume anaiba Hela ndani ya familia halafu anajiona mjanja kwa ku-justify na other issues, ni changamoto sana. Hana tofauti na mwanaume aliyenunuliwa kiwanja na mchepuko wa mkewe alafu anafurahia utadhani jambo jema sana.
Mwizi ni hatari sanaa, kawaida mtu kuficha hela yake sio kosaSasa huyu anaeiba hela ndani ya familia na anayeficha hela ndani ya familia yupi bora
Kwakweli ifutwe..!! maana ndani ya nyumba, mke akiwa na laki moja na mume akawa na elfu sabini, jumla ya hela humo ndani ni elfu sabiniIle kauli ya Sasa Ni mwili mmoja ifutwe tu.
Safia sanaKwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.
Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.
Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.
My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Mkuu bima kwa familia ipo. Nakukumbusha tu kwamba bima hawakulipii nauli ya bombadia, hawakuwekei mafuta, hawakulipii lodge,😊
Wakati mwingine usizipatie nafasi gharama za matibabu zikuumize zaidi. Chukua hatua, check in here,
Bima ya Afya ni mpango wa kujali Afya ya Jamii - AfyaPin
Magonjwa sio kitu tunacho kitalajia tupangapo ratiba za maisha yetu, ingawaje hatuwezi kupinga kwamba yanaweza kutokea muda na wakati wowote.afyapin.com
IdiotHamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia utapeli na wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Mimi siafiki kuiba ila naafiki mwanamke ambaye ni mke wangu,awe msaada kwangu,na siyo nateseka,ananiangalia tu,hatakama hana pesa,anisaidie kwa hali basi.Sawa umesikika lakini kwanini uibe? Mke ni mtu muhimu katika familia akipoteza uaminifu wake utakua umepoteza dira
Sasa huyu anaeiba hela ndani ya familia na anayeficha hela ndani ya familia yupi bora
Yaani tatizo Ni kubwa,,kuishi na mwizi ndani Ni Bora kuficha tu hiyo laki mwizi ajue Kuna sabini tu.Kwakweli ifutwe..!! maana ndani ya nyumba, mke akiwa na laki moja na mume akawa na elfu sabini, jumla ya hela humo ndani ni elfu sabini
Watu wa Jf bwana[emoji23]Hamna siku ntakuja kutamani pesa ya mke wangu, mimi ni mwanaume sitakuja kutumia utapeli na wizi kuumiza mke wangu eti nionekane mimi nina akili, maisha ya wizi wizi na kutoaminiana siapendi bora nikae kama nilivo kuliko kuiba kwa ujanjajanja......."good relation in marriage is every thing en is beyond money"
Na kwa nini ufiche pesa yako,hata usimwambie mwenzio mwandani wako!? Je Mungu akimchukua ghafla hiyo pesa si inaliwa na Bank,huku Watoto na ndg zake wakiwa na hali duni!!Mwizi ni hatari sanaa, kawaida mtu kuficha hela yake sio kosa
Na anasema kabisa!Mkuu unamuibia mkeo halafu unajiona mwanaume?
Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.
Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.
Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.
My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Ni ujinga serious,, kuna shetani mmoja na yeye tuligombana kisa kaki tu...nimetumia pesa nyingi sana kwake siku ana elf tano niliichukua nikamwambia nampa ila nikawa akinikumbusha namwambia nitampa at the same time narudi na kitu as gift yake tu cha zaidi ya hio hela .. vocha yake ni mm naweka bado anathubutu nipa kauli za ajabu kisa elf tano niliitupilia mbali
Nakushauri ufanye uwezalo urejeshe hiyo hela hata kwa kusema umepiga deal fulani umepata hela akaweke ktk akaunti.Kwa ufupi sana.
Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.
Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.
Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.
My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Binafsi Huwa ninafanyaga baadhi ya arguments na Mzee wangu, ambaye namshukuru Mungu kwa kumweka hai mpaka sasa. Huwa ananiambiaga kama kijana wake, mwanaume ni lazima uwe na high bar kwenye maswala ya kimaadili na hekima kama baba, mwanaume ni lazima awe na busara kwelikweli na uongozi usio na hitilafu na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi yenye mantiki pasipo mabavu maana yeye ndo symbol ya familia nzima, Ili pale familia inapopata changamoto nzito na ngumu aweze kuwa kimbilio na source of wisdom, solution, and stability. Mwanaume akishakosa moral authority kwa kujihusisha na mambo ya hovyo atatengeneza instability ndani ya familia kupitia chaos either baina yake na mke wake au watoto, atadharaulika kutokana na uovyo wake na hakuna atayemsikiliza Wala kumheshimu Ikiwemo mbwa wake mwenyewe. Mwanaume akiwa mdokozi na mwenye makandokando ya kijinga Hana tofauti na kibaka wa mtaani. Baba ni lazima achape kazi kwelikweli Ili amtunze mke wake, wazazi wake,jamii inayomzunguka na watoto wake kwa juhudi na maarifa.